Kunae uncle wangu , bachelor baada ya kumaliza chuo na kupata kazi ameanza kujipata , anataka kununua usafiri wa kumsaidia kwenye shughuli zake za kila siku jijini Dar es Salaam .
Ameniomba ushauri kati ya Crown, Premio new model au RVR ni ipi itamfaa zaidi based on comfort, running and maintenance costs.
Sasa mimi baba mdogo wenu sio mzoefu wa magari , nimekuwa nikiendesha Toyota hilux huku mashambani toka enzi za JK .
Sasa nalileta jukwaani kwenu wajuvi wa magari , uncle aanze kutembelea miguu minne.
Ameniomba ushauri kati ya Crown, Premio new model au RVR ni ipi itamfaa zaidi based on comfort, running and maintenance costs.
Sasa mimi baba mdogo wenu sio mzoefu wa magari , nimekuwa nikiendesha Toyota hilux huku mashambani toka enzi za JK .
Sasa nalileta jukwaani kwenu wajuvi wa magari , uncle aanze kutembelea miguu minne.