nyabhera
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 663
- 735
Jamani kwa nia nzuri nauliza ma great thinker. Kwanini Mbeya ambalo ni jiji kubwa na liko mbali na Dar es Salaam jiji kuu la kibiashara Tanzania, lakini Precision air hawana route ya kwenda huko.
Aidha hao Precision Air wana route ya Dar to Kahama ambako ni mji mdogo sana kulinganisha na Mbeya.
Aidha hao Precision Air wana route ya Dar to Kahama ambako ni mji mdogo sana kulinganisha na Mbeya.