Twande
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 543
- 174
Hivi hii ndege inaoperate kwa uchafu kiasi hiki! sijaamini watu wanapewa boarding pass wanaachwa! nimejionea mwanza pana uchafu uliokithiri! inawezekana vipi mfanyakazi anatoka dirishani anakuja nje anakusanya tiketi za watu mikononi halafu wale waliompa rushwa anawachukua anabakiza tiketi zenye majina ambayo hawajamuhonga? wanakatisha tiketi kwa gharama kubwa halafu wanaoperate kama mabasi ya mbagala! shirika linajifanya lina selfhandling lakini kinachofanyika ni masrahi binafsi ya wafanyakazi wanaotumia system weak za shirika za kuoverbook kugandamiza abiria hivi Tanzania tutafika?