Matusi ya nini mkuu,katika andiko langu nimekukwaza nini?,Elewa ya kuwa kama wewe huna kitu fulani basi isiwe sababu ya mwingine asiwe nacho,wewe kuwa na hudhuni,sio kizuizi cha kufanya mwingine asiwe na furaha,wewe kama huna kazi isiwe sababu ya kuzuia wengine tusifurahie maisha,you have to take 100% responsibility for ur life,huwezi kunizuia kufanya application kama nina vigezo vyote eti kwa kuwa wewe huna kazi,ni mpuuzi pekee anaeweza kuongea kama ulivyoongea wewe,ktk maisha hatufanani,kama wewe huna mwenzio anacho,"kama huna kazi wenzako wanazo,kama huna pesa wenzako wanazo,kama huna akili wenzio tunazo,kama huzioni fursa wenzio tunaziona",so stop this daftness....!