dickson gosbert
New Member
- May 25, 2015
- 3
- 11
Kwanza kabisa kuna tabia nzuri na mbaya
Tabia nzuri nzuri matokeo yake ni sasa na tabia mbaya matokeo yake ni baadae kwa mfano kama unavuta sigara au ni mlevi kupindukia matokeo yake utayapa baadae kama figo au ini kufeli
Ushauri wangu kwa vijana tufanye tabia nzuri Na nidhamu kwenye kutunza na kutumia kipato vivuri
Tabia nzuri nzuri matokeo yake ni sasa na tabia mbaya matokeo yake ni baadae kwa mfano kama unavuta sigara au ni mlevi kupindukia matokeo yake utayapa baadae kama figo au ini kufeli
Ushauri wangu kwa vijana tufanye tabia nzuri Na nidhamu kwenye kutunza na kutumia kipato vivuri