Power is not given, power is taken

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,125
Reaction score
6,141
Huu msemo Power is taken and not given watu wengi sana wanaufungamanisha na kutumia vurugu kama njia ya kuchukua mamlaka-ukisema Power is taken wanahisi labda unataka kupindua nchi au kuleta vurugu kama njia ya kuchukua mamlaka- wasilolijua even in democratic process fahamu Power is not given, power is taken

Hapa kuna mambo mawili
  1. Power is taken through earned
  2. Power is taken by force

Kwenye huu uzi ntajikita Kwenye power is taken through earned
Nakuonyesha kwenye democratic process jinsi Power is taken through earned na namna ulivyotumika na ntajikita hapa Tanzania
  1. Tumemuona mzee wetu mohammed said akiandika mpaka vitabu na nakala nyingi sana kuhusiana na wazee wake wa kariakoo ambao hawakuwa-acknowledge kwenye historia ya Tanzania, jambo ambalo wazee wake hawakujua ni kwamba power is taken and not given. Yaan haikuwa sahii wao kumpa power/mamlaka nyerere angetakiwa aipiganie kama anaitaka, na kama ni mkristo anatakiwa mmoja wapo abadili dini na kuwa mkristo ili power iendelee kubaki mikononi mwao kusurrender power kwa mtu kirahisi vile ilikuwa kosa kubwa sana kwa wazee wa kariakoo na said mohamed na wao ndo wakujilaumu. Unasema nini kuna watu wanaoana ndugu ili tu mali au power iendelee kubaki kwao usishangae ndo maisha yako hivyo
  2. Kwenye uzinduzi wa kitabu cha mkapa alisema Ahmed salim alitaka kupelekewa urais mezani hii kauli ilinifikirisha katika mengi aliyoyaongea mzee mkapa ila kwa lugha nyingine alijaribu kusema Ahmed salim alisahau Power is taken and given mwisho wa siku mkapa akawa Rais na tunaona tena 2005 salim Ahmed salim anarudia makosa yale yale ni kama hakujifunza power is taken and not given
  3. Kwenye uchaguzi wa ndani wa mwaka 2015- lowasa alikuwa na nguvu sana ila alisahau kwamba Power is taken and given kuja kushtuka ameshakatwa na wamewekwa watu wengine japokuwa alikuwa na nguvu sana, swala sio kuwa na nguvu bali kudeal na uhalisia wa mambo

Remember
  • It's not about feeling, but reality
  • Feelings are real but they're not our reality
 
JE, Saa99 ana absolute power?
(Kutoka mtandao wa X):

The exercise of absolute power is often marked by several key indicators, which can be observed in both historical and contemporary contexts. Here are some common signal indicators:

1. Centralization of Authority
- All major decisions are made by a single leader or a small, unelected group.
- Weakening or elimination of checks and balances (e.g., judiciary, legislature, or independent oversight bodies).
- Marginalization of political opposition, either through legal suppression or force.

2. Control Over Information
- Strict censorship of media, press, and public discourse.
- State propaganda dominates public narratives, with little to no dissenting voices.
- Surveillance and monitoring of communications (e.g., internet censorship, spying on citizens).

3. Personality Cult
- The leader is glorified through state-sponsored propaganda, portrayed as infallible or indispensable.
- Public spaces, monuments, and institutions are named after or dedicated to the leader.
- Historical narratives are rewritten to emphasize the leader’s role in national destiny.

4. Suppression of Dissent
- Political opponents, activists, and critics are imprisoned, exiled, or eliminated.
- Use of secret police, paramilitary forces, or extrajudicial measures to enforce loyalty.
- Fear permeates society, discouraging open criticism.

5. Erosion of Rule of Law
- Laws are applied selectively to punish enemies and protect allies.
- The judiciary is controlled by the ruling power, ensuring legal decisions align with the leader’s interests.
- Arbitrary arrests, show trials, or lack of due process for perceived threats.

6. Militarization & Coercion
- Heavy reliance on military or security forces to maintain control.
- Use of force to suppress protests, rebellions, or opposition movements.
- Expansion of internal security apparatus (e.g., mass surveillance, informant networks).

7. Elimination of Succession Mechanisms
- No clear or democratic process for leadership transition; power remains within a closed circle.
- The leader remains in power indefinitely through manipulated elections, constitutional changes, or force.
- Family members or loyalists are positioned as successors in dynastic arrangements.

8. Economic Control
- The state or ruling elite dominates key industries, wealth, and resources.
- Patronage systems reward loyalty with economic benefits, while dissenters face economic ruin.
- Corruption is systemic, with little accountability for those in power.

9. Nationalism & Xenophobia
- The regime promotes extreme nationalism, often scapegoating external or internal "enemies."
- Policies restrict freedoms in the name of national security or ideological purity.
- Dissent is framed as treason or betrayal of the nation.

10. Restriction of Civil Liberties
- Suspension of basic rights (e.g., free speech, assembly, religion).
- Mass surveillance and restrictions on movement (e.g., travel bans, curfews).
- Forced conformity to state ideology in education, culture, and daily life.

Historical & Modern Examples:

Historical: Louis XIV’s "L'État, c'est moi" (I am the state), Stalin’s purges, Hitler’s totalitarian rule.

Modern: North Korea’s Kim dynasty, Syria under Assad, or authoritarian regimes with entrenched power structures.

Absolute power tends to corrupt absolutely, as Lord Acton observed, and these indicators help identify when power has become dangerously concentrated. Would you like analysis on a specific historical or current context?
 
Please relate this to the Sa99 regime

Kind regards,
The Dumb professor
 
 
Huu msemo Power is taken and not given watu wengi sana wanaufungamanisha na kutumia vurugu kama njia ya kuchukua mamlaka-ukisema Power is taken wanahisi labda unataka kupindua nchi au kuleta vurugu kama njia ya kuchukua mamlaka- wasilolijua even in democratic process fahamu Power is not given, power is taken
 
who can take power from CCM hands among these clueless, ruderless puppets and political bandits with no directions in Tz?🐒
 
Umejaribu kuelezea how power is taken by force ili hali uzi umejikita kwenye how power is taken through earned
 
Kwenye uzinduzi wa kitabu cha mkapa alisema Ahmed salim alitaka kupelekewa urais mezani hii kauli ilinifikirisha katika mengi aliyoyaongea mzee mkapa ila kwa lugha nyingine alijaribu kusema Ahmed salim alisahau Power is taken and given mwisho wa siku mkapa akawa Rais na tunaona tena 2005 salim Ahmed salim anarudia makosa yale yale ni kama hakujifunza power is taken and not given
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…