Postgraduate udsm

Postgraduate udsm

Techguy

Member
Joined
Jul 15, 2018
Posts
57
Reaction score
41
Kwa mwenye kufahamu, Ni lini zinatoka selection za postgraduate udsm kwa walioapply kabla ya mwezi wa 6? I mean first round of application.
 
HV kwanini umepoteza pesa kwaajili ya masters hapo udsm apply ufaransa Belgium ujerumani mbona same cost tuu
 
HV kwanini umepoteza pesa kwaajili ya masters hapo udsm apply ufaransa Belgium ujerumani mbona same cost tuu
Mkuu hebu tueleze tutazipata vipi hizo za same cost kama za hapa nyumbani. Wengi wetu tuko gizani.
 
Mkuu hebu tueleze tutazipata vipi hizo za same cost kama za hapa nyumbani. Wengi wetu tuko gizani.
First of all Germany franc hakuna ada unalipia contributions ya students government na public transport . so cost utakayoingia ni insurance na residence ..naona message hazinifiki nikitumia PC ntawajibu ila ntaanzisha Uzi kuhusu hizo system
 
First of all Germany franc hakuna ada unalipia contributions ya students government na public transport . so cost utakayoingia ni insurance na residence ..naona message hazinifiki nikitumia PC ntawajibu ila ntaanzisha Uzi kuhusu hizo system
Usisahau kunitag ukianzisha huo uzi mkuu
 
First of all Germany franc hakuna ada unalipia contributions ya students government na public transport . so cost utakayoingia ni insurance na residence ..naona message hazinifiki nikitumia PC ntawajibu ila ntaanzisha Uzi kuhusu hizo system
Mkuu fanya hivyo jukwaa hili hili tutashukuru.
 
First of all Germany franc hakuna ada unalipia contributions ya students government na public transport . so cost utakayoingia ni insurance na residence ..naona message hazinifiki nikitumia PC ntawajibu ila ntaanzisha Uzi kuhusu hizo system
Itakua powa Sana Kama ukitusaidia njia ya kupata izo chance
 
Back
Top Bottom