M MATASO Member Joined Jan 4, 2012 Posts 10 Reaction score 1 Sep 8, 2013 #1 Habari wajameni! Naomba kuuliza kuhusu post za kazi walizo tangaza postal bank kama 3 weeks hivi. Kuna yeyote aliyeitwa 4 interview? au wameshaweka ndugu zao. Umefika wakati na haya mashirika ya serikali watumishi watafutwe na tume ya ajira.
Habari wajameni! Naomba kuuliza kuhusu post za kazi walizo tangaza postal bank kama 3 weeks hivi. Kuna yeyote aliyeitwa 4 interview? au wameshaweka ndugu zao. Umefika wakati na haya mashirika ya serikali watumishi watafutwe na tume ya ajira.
M Mario Gomez JF-Expert Member Joined Nov 1, 2011 Posts 821 Reaction score 588 Sep 8, 2013 #2 nadhani bado hawajaita,hata nami ninasubiria
H Harhombo JF-Expert Member Joined Mar 5, 2013 Posts 216 Reaction score 57 Sep 8, 2013 #3 Hawa majamaa ni majanga tupu,siku moja tutaona nchi ya ahadi kwa hawa wakubwa wetu.