Post za darasa la saba kwenda form one

johnshedo

Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
98
Reaction score
6
Jaman mwenye uwelewa ni tovut gani yenye majina hayo atupe riport
 
upangaji wa wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza hufanyika katika Secretariat za mikoa.kwa hiyo ni vigumu kuweka katika website.kinachofanyika ni kwenda kwenye halmashauri husika.
 
Post ya mwaka juzi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…