Post na selection za form five 2017/2018 zinatoka lini?

dumejm

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2016
Posts
1,180
Reaction score
857
Tujuzane hapa updates za selections


 
huwa zinatoka mwezi wa saba tarehe za mwanzoni, au mwezi wa sita tarehe za mwishoni!!


vuta subira!!!
 
Subr tu kama umefaul endelea kufany maandalz
Tatizo unaweza ukawa umefaulu alafu unakuta umebalance comb tatu,sasa unashindwa ujiandae kwa comb ipi ndio maana ni bora zije mapema ili mtu akajiandae kwa comb aliyopangiwa maana huwezijua mwaka huu labda watakataa mwanafunzi abadilishe comb ndio maana bora tujue wanatoa lini izo selection ndio wengine tujiandae hata kwa muda Mfupi
 
Subiri ukichachaguliwa ndo ukasome, kwa Muda huu wewe pumzika tu, huchoki kusoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…