Possibility ya kutoka majina ya walipata kwenye sensa

Possibility ya kutoka majina ya walipata kwenye sensa

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,180
Naomba kuuliza kua ni lini watatoa majina ya walioomba sensa na je watatumia utaratibu gani je kuna uwezekano wa form 4 kuchaguliwa akakosa wa chuo kikuu?

Asanteni
 
Acha mawenge kazi yako ni kutuma maombi, suala la nani atapata hiyo sio kazi yako kikubwa omba Mungu upate. Kwani vigezo havikuwahusu form 4?, Kama hakuwataka kwanini waruhusiwe kuomba?, Sensa ni mwezi august Leo ni mwezi may bado sana.

Majina tegemea mwezi wa August 15+.
 
Naomba kuuliza kua ni lini watatoa majina ya walioomba sensa na je watatumia utaratibu gani je kuna uwezekano wa form 4 kuchaguliwa akakosa wa chuo kikuu?... Asanteni
iii) Awe ni mtumishi wa umma au sekta binafsi au yeyote asiye na ajira anayeishi
katika eneo husika;

nadhani umeona hapo. Kama wangekuwa wanahitaji raia yeyote hawakuwa na haja ya kuweka hii sifa
 
Tatizo wengi mnataka kufanya hiyo kazi sehemu za mijini tu,kama una babu yako kijijini unatakiwa ujaze kijijini kwa babu yako na unapeleka form yako kwa Mtendaji wa Kijiji anakuwekea sahihi na kupiga muhuri.Sasa unakuta wewe umechagua Mjini halafu mtaa wenyewe mmeomba watu 10..Moja ya kigezo unatakiwa upeleke form yako kwa Mtendaji wa eneo ulilochagua kufanya kazi
 
Tatizo wengi mnataka kufanya hiyo kazi sehemu za mijini tu,kama una babu yako kijijini unatakiwa ujaze kijijini kwa babu yako na unapeleka form yako kwa Mtendaji wa Kijiji anakuwekea sahihi na kupiga muhuri.Sasa unakuta wewe umechagua Mjini halafu mtaa wenyewe mmeomba watu 10..Moja ya kigezo unatakiwa upeleke form yako kwa Mtendaji wa eneo ulilochagua kufanya kazi
Sijapeleka ila nachojua ni jina lirudi alafu niitwe kwenye usaili ndo nitampelekea hio form bila kuona jina sipeleki
 
Back
Top Bottom