Posho za mawakala UKAWA ni shida

Posho za mawakala UKAWA ni shida

mjukuumimi

Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
15
Reaction score
0
Pamoja na kujisifu kote, pamoja na majigambo, posho ya mawakala CHADEMA na UKAWA zilikuwa ni laki mbili kwa kata nzima. Halafu wanalalamika wameibiwa kura duuh!

Mamilioni wamepewa 'wataalamu wa IT' ambao nao hawakufanikisha lolote! Ni aibu sana. Ofisi za kata wilaya zinaambiwa zijitegemee wakubwa hawalioni hili. Siasa za aina hii ni ngumu kuiponesha Tanzania.

Halafu viti maalumu Joyce Mukya tena! Bado tu hajapata uzoefu? Mke wa Kubenea ndani duuuu!
 
Dah kizazi cha posho hiki ni shida sana wamewaambukiza mpaka watoto wao.

Mimi nilifanya kwa kujitolea niliona ni kutimiza wajibu wangu kwa chama.
 
Ni ajabu kurusha chopa miezi miwili harafu unashindwa kumlipa atakayekurindia kura.
 
Ni ajabu kurusha chopa miezi miwili harafu unashindwa kumlipa atakayekurindia kura.

jamaa walikuwa wanavuta kotekote, ukiangalia form ya msimamizi wa tume inakura tofauti na form ya wakala na zote zimethibitishwa na wahusika, na ukihesabu upya kura ni tofauti na form za mawakala wala msimamizi wa uchaguzi kituo husika yaani ulikuwa mnada wa kura.
 
Back
Top Bottom