BWANA MISOSI
Member
- Feb 11, 2020
- 39
- 25
Habari za saa hizi wanaJF.
Naomba kujua, unapohamishwa kikazi bila kuomba kwa mtumishi wa umma, ni stahiki zipi inatakiwa kulipwa?
1. Kuna posho ya usumbufu
Hii inatolewa unapotoka au unapoenda?
2. Pesa ya kujikimu kwa muda gani?
Hii inatolewa unapotoka au unapoenda?
Au Kama kuna stahiki zingine kwa anayefahamu anijulishe.
Asanteni.
Naomba kujua, unapohamishwa kikazi bila kuomba kwa mtumishi wa umma, ni stahiki zipi inatakiwa kulipwa?
1. Kuna posho ya usumbufu
Hii inatolewa unapotoka au unapoenda?
2. Pesa ya kujikimu kwa muda gani?
Hii inatolewa unapotoka au unapoenda?
Au Kama kuna stahiki zingine kwa anayefahamu anijulishe.
Asanteni.