Mass hallucinations ni kitu chochote cha kufikirika kishicho cha kawaida ambacho husambazwa kwa kasi na kuonekana kama ni kitu cha kweli kabisa lakini kisicho na ithibati hata moja, kila utakayemuuliza hili ni kweli atakwambia nimeambiwa au imemtokea mtu Fulani
Mwembe basha ni mti mwa mwembe mkubwa upo sehemu mbalimbali Tanga mjini na vijijini una upepo mwanana hasa, sasa watu wa pwani hupenda kujipumzisha nyakati za mchana lakini ukijipumzisha tu kwenye mwembe wa namna hiyo lazima ufanyiwe vitendo vichafu vya kifirauni, lakini hata mmoja alishawahi kukiri kufanyiwa binafsi