Pongezi UDSM kwa udahili makini.

Pongezi UDSM kwa udahili makini.

FortJeasus

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2012
Posts
604
Reaction score
405
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM)kinaendelea kujitenga kiubora,na Taasisi na Vyuo vingine vya Elimu ya Juu nchini,kwa uamuzi wake wa kurejea utamaduni wake zamani kudahiliwanafunzi wenye ufaulu wa juu katika matokeo yao.

Kwa mwaka wa masomo 2016/2017,walioweza kupata udahili Chuoni hapo wana kiwango kizuri cha ufaulu,kinachowawezesha kumudu masomo ya ngazi husika,kiwango cha chini cha ufualu kikiwa pointi 5,juu kidogo ya viwango vya chini vya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania(TCU),ambavyo ni pointi 4 kwa masomo mawili ya Kidato cha Sita.

Ni matarajio,kuwa wanafunzi husika wataitumia fursa ya kusoma katika Chuo kikongwe kitaifa,kikanda na kimataifa kwa kutimiza malengo yao binafsi na kuchangia ustawi wa taifa kwa upana wake.
 
..kweli Kabisa[/QUOTE

Pongezi nyingi kwa uamuzi wako wa kumpa mwenzako faraja na moyo katika upotofu wake.
Kipofu mwenzako,mwenye uso wa masizi,nawe huyaoni,utawezaje kumsihi ajisafishe!
 
UDSM fani ambazo ni stable over years ni Law, Political science na History. Kwa fani hizo UDSM bado ni bora kama sio the best. Ila katika fani nyingine UDSM imebaki jina tu. I say this as an alumni of the university. Kuna vyuo vinafanya vizuri sana kwenye fani nyingine kuliko UDSM and this is well reflected in the labour market.
 
UDSM fani ambazo ni stable over years ni Law, Political science na History. Kwa fani hizo UDSM bado ni bora kama sio the best. Ila katika fani nyingine UDSM imebaki jina tu. I say this as an alumni of the university. Kuna vyuo vinafanya vizuri sana kwenye fani nyingine kuliko UDSM and this is well reflected in the labour market.
Ngwini utawajua tu
 
UDSM fani ambazo ni stable over years ni Law, Political science na History. Kwa fani hizo UDSM bado ni bora kama sio the best. Ila katika fani nyingine UDSM imebaki jina tu. I say this as an alumni of the university. Kuna vyuo vinafanya vizuri sana kwenye fani nyingine kuliko UDSM and this is well reflected in the labour market.
acha uongo,mkuu kwani Hill kuna courses ngapi na umezifatilia zote,au unaongea tu yani katika fani 70s unatak unambie izo 3 tu ndo wako competent?,
Usiforce tufanane.
 
Ili huyu jamaa sijui kakurupuka isee...hivi unafikiri mtu kuwa na point kubwa ndo inamaana ataweza kuendana na mazingira ya prpgram husika??..hivi unayajua maisha ya chuoni au unayasikia?? Kuna watu wanaingia na point zaidi ya hizo chuoni na wanashindwa kuhitimu ....so hebu tengeneza vizuri maneno yako ili watu wakuelewe
 
acha uongo,mkuu kwani Hill kuna courses ngapi na umezifatilia zote,au unaongea tu yani katika fani 70s unatak unambie izo 3 tu ndo wako competent?,
Usiforce tufanane.
Kama bado uko hapo tunakungoja kwenye labour market. Pride that you have over the institution will dissolve once you get out of the place
 
Kama bado uko hapo tunakungoja kwenye labour market. Pride that you have over the institution will dissolve once you get out of the place
mimi kam kijana sifikirii kuja kucompete katika ajira na wengne but nafocus kuitumia ipasavyo elimu yangu nayopata.sasa kma wew unangalia wanafunz au unafkiria kuhus kuajiriwa kwamb tukakutane huko,umenikosa mkuu.think and grow rich
[HASHTAG]#usiforce[/HASHTAG] tufanane
 
mimi kam kijana sifikirii kuja kucompete katika ajira na wengne but nafocus kuitumia ipasavyo elimu yangu nayopata.sasa kma wew unangalia wanafunz au unafkiria kuhus kuajiriwa kwamb tukakutane huko,umenikosa mkuu.think and grow rich
[HASHTAG]#usiforce[/HASHTAG] tufanane
You made me smile. Time is the best truth teller. Just keep your dream alive. Time will speak and prove one of us wrong
 
watsup group for udsm selected student 1st year in 2016/2017 now available...mesaage me 0717349775 then i will fast add yu...
 
Back
Top Bottom