Pongezi Mkoba na mahakama

Angalien wasiwafutie usajili km madocta! joking jamani! kuna walim wa ajabu hawajagoma et hawajata tangazo la maandishi kutoka cwt. hawafanyi mgomo kupitia taarifa za vyombo vya habar dah tena wengi ni mjini dasilam!
 

Siasa at work_mbona hujatuambia kwann umegoma? Wametumiwa madaktar imeshindikana sasa waalim_kwakwel madaraka na usidini vitawaua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…