Pongezi kwa Mwenyekiti wa Chadema

Pongezi kwa Mwenyekiti wa Chadema

Arnold Ringo

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,318
Reaction score
394
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo ( chadema ) mh .free man mbowe kwa kuchaguliwa tena kukiongoza chama kwa kipindi kingine cha miaka mitano .

Kuchaguliwa kwako kunatokana na imani waliokuwa nayo. Wanachama wa chadema kwani juhudi zako ktk kujenga misingi imara ya chama kutoa fursa kwa kila mwanachama kuchangia / kuimarisha / na kuendesha chama.


Chini ya uongozi wako umeshirikiana na viongozi wenzako kuipandisha chama kutoka chama cha tano mwaka 2000 mpaka chama cha pili mwaka 2010 .Sisi kama wanachama tumepata nafasi nzuri ya kukichangia chama kwa mawazo mbalimbali na ni umoja wa mawazo yetu / matendo yetu sote kila mmoja kwa nafasi yake .kwa uwezo wake ndiko kumesaidia chama kwenda mbele.

Chini ya uongozi wako chadema imekubalika kama chama chenye demokrasia na haki za kila mwanachama ziliheshimika .
Haki ya maoni binafsi na kuyatetea ni haki ya msingi inayochangia ktk kutofautisha chadema na vyama vingine.
Chini ya uongozi wako tunapaswa kujivunia kwa kutoa elimu ya uraia ili kutoa fursa kwa watanzania kuijenga upya nchi yao kupitia chadema.

Kwani dhumuni moja wapo ya chadema kwa mujibu wa katiba ni kuendeleza na kudumisha demokrasia ktk mfumo wa vyama vingi vya siasa kukenga utamaduni wa demokrasia ktk jamii kutambua haki za wengi ktk maamuzi na pia kutambua haki za wachache kusikilizwa .kuheshimiwa na kulindwa .
Kuchaguliwa kwako tena ni kutokana na ujasiri wako wa kufuata misingi ya chadema ambayo ndio nguzo kuu ktk kusimamia na kukijenga chama kyk uimara wake .

Kama sehemu ya wapigania mabadiliko tunakupongez a tena kwa kuvuka mitihani ambayo chama kimeyapitia ila kwa ujasiri wako tumeyavuka kwani mitihani ni silaha kubwa kwa chama chetu ktk juhudi zetu za kuchukua uongozi wa taifa letu.
Misukosuko ya hapa na pale inayosababishwa na wafuasi wa watu badala ya wafuasi wa misingi ya chama haitakwisha .
Hata hivyo chini ya uongozi wako kipimo cha uongozi ni namna kiongozi anavyoyashughulikia misukosuko na ndiyo maana tumekuamini tena kukupa uongozi kwani tunajua / tunafahamu kuwa wewe ndio mwenye uwezo kwa wakati huu wa kutufikisha tunapotarajia.

Mwenyeezi mungu akulinde na akuzidishie hekima na maarifa
 
watu makini na wenye busara sisi kina gogo la shamba lazima tukubaliane na pongezi zako,kwa kweliMbowe ni kiongozi imara na shupavu na kama tungempata rais mwenye hulka ya Mbowe Tanzania ingekuwa mbali sana kimaendeleo
 
Mwenyenzi Mungu mwingi wa Rehema na ampe nguvu na afya njema Mwenyekiti wetu!

Tuko naye bega kwa bega mwanzo mwisho!
 
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo ( chadema ) mh .free man mbowe kwa kuchaguliwa tena kukiongoza chama kwa kipindi kingine cha miaka mitano .

Kuchaguliwa kwako kunatokana na imani waliokuwa nayo. Wanachama wa chadema kwani juhudi zako ktk kujenga misingi imara ya chama kutoa fursa kwa kila mwanachama kuchangia / kuimarisha / na kuendesha chama.


Chini ya uongozi wako umeshirikiana na viongozi wenzako kuipandisha chama kutoka chama cha tano mwaka 2000 mpaka chama cha pili mwaka 2010 .Sisi kama wanachama tumepata nafasi nzuri ya kukichangia chama kwa mawazo mbalimbali na ni umoja wa mawazo yetu / matendo yetu sote kila mmoja kwa nafasi yake .kwa uwezo wake ndiko kumesaidia chama kwenda mbele.

Chini ya uongozi wako chadema imekubalika kama chama chenye demokrasia na haki za kila mwanachama ziliheshimika .
Haki ya maoni binafsi na kuyatetea ni haki ya msingi inayochangia ktk kutofautisha chadema na vyama vingine.
Chini ya uongozi wako tunapaswa kujivunia kwa kutoa elimu ya uraia ili kutoa fursa kwa watanzania kuijenga upya nchi yao kupitia chadema.

Kwani dhumuni moja wapo ya chadema kwa mujibu wa katiba ni kuendeleza na kudumisha demokrasia ktk mfumo wa vyama vingi vya siasa kukenga utamaduni wa demokrasia ktk jamii kutambua haki za wengi ktk maamuzi na pia kutambua haki za wachache kusikilizwa .kuheshimiwa na kulindwa .
Kuchaguliwa kwako tena ni kutokana na ujasiri wako wa kufuata misingi ya chadema ambayo ndio nguzo kuu ktk kusimamia na kukijenga chama kyk uimara wake .

Kama sehemu ya wapigania mabadiliko tunakupongez a tena kwa kuvuka mitihani ambayo chama kimeyapitia ila kwa ujasiri wako tumeyavuka kwani mitihani ni silaha kubwa kwa chama chetu ktk juhudi zetu za kuchukua uongozi wa taifa letu.
Misukosuko ya hapa na pale inayosababishwa na wafuasi wa watu badala ya wafuasi wa misingi ya chama haitakwisha .
Hata hivyo chini ya uongozi wako kipimo cha uongozi ni namna kiongozi anavyoyashughulikia misukosuko na ndiyo maana tumekuamini tena kukupa uongozi kwani tunajua / tunafahamu kuwa wewe ndio mwenye uwezo kwa wakati huu wa kutufikisha tunapotarajia.

Mwenyeezi mungu akulinde na akuzidishie hekima na maarifa

Mkuu ni kweli. Wapenzi wengi pamoja na wanachama wanasubiri namna mhs Mbowe pamoja na Mhs Prof Safari watakavyofikisha ujumbe maalum wa 2015 kwao. Kwa mtu ambaye si mnafiki amekuelewa na wale wanafiki watakuja na negative comments. Tumekuelewa.
 
kiongozi gani anaevunja katiba kwa kuibadilisha mara kwa mara ili aendelee kutawala? chdm inatia aibu. tulidhani mbowe atatofautiana na lipumba, seif, cheyo na mrema ktk kung'ang'ania madaraka kumbe ni walewale.

pumbavu mbowe!

hivi ccm wakiamua kugusa katiba kwa kumuongezea kikwete muda chdm mtakua na la kusema!?

shame on you! pumbavu
 
kiongozi gani anaevunja katiba kwa kuibadilisha mara kwa mara ili aendelee kutawala? chdm inatia aibu. tulidhani mbowe atatofautiana na lipumba, seif, cheyo na mrema ktk kung'ang'ania madaraka kumbe ni walewale.

pumbavu mbowe! hivi ccm wakiamua kugusa katiba kwa kumuongezea kikwete muda chdm mtakua na la kusema!?
shame on you! pumbavu

Asante Sana Kamanda Arnold Ringo. Mbowe ndio kamanda tune mjua huyo anayesema alivunja katiba ina maana wale wote pale waliyokuja kwenye uchaguzi walikua nao wamevunja katiba ukiwa huna chakuchangia Jf ni bora ukatulia
 
Mbowe na team yako hongera sana...ccm sasa inakunya kunya...
 
kiongozi gani anaevunja katiba kwa kuibadilisha mara kwa mara ili aendelee kutawala? chdm inatia aibu. tulidhani mbowe atatofautiana na lipumba, seif, cheyo na mrema ktk kung'ang'ania madaraka kumbe ni walewale.

pumbavu mbowe!

hivi ccm wakiamua kugusa katiba kwa kumuongezea kikwete muda chdm mtakua na la kusema!?

shame on you! pumbavu

siyo kosa lako nilahao wanaokutuma itafika pahali utajitambua tu
 
Mkuu ni kweli. Wapenzi wengi pamoja na wanachama wanasubiri namna mhs Mbowe pamoja na Mhs Prof Safari watakavyofikisha ujumbe maalum wa 2015 kwao. Kwa mtu ambaye si mnafiki amekuelewa na wale wanafiki watakuja na negative comments. Tumekuelewa.

kweli Kamanda
 
Mkuu, nami naungana nawe kumpa pongezi za dhati mwenyekiti wetu kwa kuchaguliwa tena.

Tunakutakia kila la heri Mungu akusimamie, Na kwa uongozi wako uliotukuka pamoja na viongozi wote waliochagukiwa tuna uhakika 2015 Chadema pekee Au ndani ya UKAWA tutaongoza nchi Hii
 
watu makini na wenye busara sisi kina gogo la shamba lazima tukubaliane na pongezi zako,kwa kweliMbowe ni kiongozi imara na shupavu na kama tungempata rais mwenye hulka ya Mbowe Tanzania ingekuwa mbali sana kimaendeleo

Nashukuru Na Ccm wanalijua hilo
 
Back
Top Bottom