kweli wale wote ambao ni ma-it pongezi kwenu, your job is great!!! Nashukuru sana sana, japo sija unlock my phone, ila natanguliza shukurani za ukweli, from my heart. i am going to unlock it through the it advices. Pia nimepewa very good and technical reply with samsung tab, how my contact names can display to the phone, read my thread : Inanichanganya samsung tab!!? Big up all it.
inasikitisha, kweli sijamtukana yeyeto, wala sina dharau, kwa wale waliyeona mm ninadharau huo ndio uwelewa wao na tafsiri yao. Bungeni ndio kuna matusi, engelikuwa nimetukana ningeliomba msamaha kwa wadogo na wakubwa. mm ndio nimetukanwa na baadhi ya wa jf, ila nimewasamehe. Pia kutangulia bar sio kulewa pombe, ww uliyetangulia humu ongera na sisi tumo.
Yeto shukurani sana kwa ma it.
inasikitisha, kweli sijamtukana yeyeto, wala sina dharau, kwa wale waliyeona mm ninadharau huo ndio uwelewa wao na tafsiri yao. Bungeni ndio kuna matusi, engelikuwa nimetukana ningeliomba msamaha kwa wadogo na wakubwa. mm ndio nimetukanwa na baadhi ya wa jf, ila nimewasamehe. Pia kutangulia bar sio kulewa pombe, ww uliyetangulia humu ongera na sisi tumo.
Yeto shukurani sana kwa ma it.