HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
Hi JF members!
Katika pita pita zangu zero pub pale, ingawa mimi ni mpenzi wa tusker 3 tu bila nyongeza nimekuwa nikikutana na wadau mbalimbali waume kwa masistaduu, wengi wamekuwa hawataki tena kunywa bia wala wine na wanakunywa whysky (konyagi, valuer, grants etc) kwa maelezo kwamba inapunguza mafuta which inturn inapunguza mwili. huwa nawasisitiza zoezi lakini they happen to be allergic with exercise, addicted to whisky only.
Kwasasa madada wengi sana they take whisky, doctors and other practitioners, is it true whisky inawapunguza mafuta/mwili???? na wote wasemao hivyo tayari wana miili mikubwa. your valued comments tafadhari.
Katika pita pita zangu zero pub pale, ingawa mimi ni mpenzi wa tusker 3 tu bila nyongeza nimekuwa nikikutana na wadau mbalimbali waume kwa masistaduu, wengi wamekuwa hawataki tena kunywa bia wala wine na wanakunywa whysky (konyagi, valuer, grants etc) kwa maelezo kwamba inapunguza mafuta which inturn inapunguza mwili. huwa nawasisitiza zoezi lakini they happen to be allergic with exercise, addicted to whisky only.
Kwasasa madada wengi sana they take whisky, doctors and other practitioners, is it true whisky inawapunguza mafuta/mwili???? na wote wasemao hivyo tayari wana miili mikubwa. your valued comments tafadhari.