Pombe haina uzoefu (ukizidisha kipimo itakuumbua)

Pombe haina uzoefu (ukizidisha kipimo itakuumbua)

yutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
1,778
Reaction score
1,222
Ni wiki ya pili sasa toka mfungo na sikukuu ya idd lakini nafsi haiko huru kabisa sababu nimefungua mfungo wa ramadhan kwa utii na karma ya Allah kama ada lakini kilichotokea ni aibu na fedhea kwangu baada kunywa na kulewa kupitiliza nilipofika nyumbani nilikuta wageni akiwemo mama mkwe nilimkumbatia na kumpiga busu kitu ambacho si kawaida.
Mke wangu akanichukua akanipeleka chumbani akanisii nipumzike (ali hisi siko sawa).

Dakika kumi baadae nikaona dunia kama inazunguka nikatoka nikachukua gari (fuso ya bosi ananiachiaga) nikapakiza familia yangu na watoto wa jirani nikawapeleka beach kisha nikawatelekeza.

Nikaenda kwa mchepuko nikalala huko huko saa 11 alfajiri nikashangaa naamshwa nikitegemea niko nyumbani dah lah aurah wapi.

Akili ilikufanya ganzi alafu taratibu nikamuuliza vp?

Akaniambia konda wako anakuulizia.

Nikijicheki niko mtupu alafu kondom nilizovaa nyengine mlegezo nyingine vipisi kabisa kabisa. NTARUDI VIP NYUMBANI?
Kwa siku zote.

Nimeishia kulala gesti na mambo mengine yote anamaliza konda wangu sababu nazompa ni kwamba niko safarini na nimepata dharura
nafsi yangu inanisuta sana si kwa familia tu hata jamii kwa ujumla.

Naomba ushauri wenu jamani nirudi kwa gia gani?
 
Hahahaha usikute ulipewa ofa maana huwa za ofa watu wanafakamia mwishoe ndo ivyo,au we ulijua pombe ni juice ya ukwaju?
 
Tena shukuru Mungu ulilala kwa mchepuko,maana ungeweza mvamia mama mke mchumbani kwake ukamwomba papuchi.
 
POLE SANA....... MTUME MUHAMMAD (SAW) amesema wewe ni sawa na mtu aliyeoga na kutakasika , kisha ukajitupa tena kwenye dimbwi la matope. UMEPATA HASARA KUBWA SANA NDG YANGU HUKUPASWA KUJISIFIA ILA UJIJUTIE......!!!(
Ni wiki ya pili sasa toka mfungo na sikukuu ya idd lakini nafsi haiko huru kabisa sababu nimefungua mfungo wa ramadhan kwa utii na karma ya Allah kama ada lakini kilichotokea ni aibu na fedhea kwangu baada kunywa na kulewa kupitiliza nilipofika nyumbani nilikuta wageni akiwemo mama mkwe nilimkumbatia na kumpiga busu kitu ambacho si kawaida mke wangu akanichukua akanipeleka chumbani akanisii nipumzike (ali hisi siko sawa)
dakika kumi baadae nikaona dunia kama inazunguka nikatoka nikachukua gari (fuso ya bosi ananiachiaga) nikapakiza familia yangu na watoto wa jirani nikawapeleka beach kisha nikawatelekeza. nikaenda kwa mchepuko nikalala huko huko saa 11 alfajiri nikashangaa naamshwa nikitegemea niko nyumbani dah lah aurah wapi. Akili ilikufanya ganzi alafu taratib nikamuuliza vp? Akaniambia konda wako anakuulizia
mh! Nikijicheki niko mtupu alafu kondom nilizovaa nyengine mlegezo nyingine vipisi kabisa kabisa. NTARUDI VIP NYUMBANI?
Kwa siku zote
Nimeishia kulala gesti na mambo mengine yote anamaliza konda wangu sababu nazompa ni kwamba niko safarini na nimepata dharura
nafsi yangu inanisuta sana si kwa familia tu hata jamii kwa ujumla
naomba ushauri wenu jamani nirudi kwa gia gani?
 
POLE SANA....... MTUME MUHAMMAD (SAW) amesema wewe ni sawa na mtu aliyeoga na kutakasika , kisha ukajitupa tena kwenye dimbwi la matope. UMEPATA HASARA KUBWA SANA NDG YANGU HUKUPASWA KUJISIFIA ILA UJIJUTIE......!!!(
Ni wiki ya pili sasa toka mfungo na sikukuu ya idd lakini nafsi haiko huru kabisa sababu nimefungua mfungo wa ramadhan kwa utii na karma ya Allah kama ada lakini kilichotokea ni aibu na fedhea kwangu baada kunywa na kulewa kupitiliza nilipofika nyumbani nilikuta wageni akiwemo mama mkwe nilimkumbatia na kumpiga busu kitu ambacho si kawaida mke wangu akanichukua akanipeleka chumbani akanisii nipumzike (ali hisi siko sawa)
dakika kumi baadae nikaona dunia kama inazunguka nikatoka nikachukua gari (fuso ya bosi ananiachiaga) nikapakiza familia yangu na watoto wa jirani nikawapeleka beach kisha nikawatelekeza. nikaenda kwa mchepuko nikalala huko huko saa 11 alfajiri nikashangaa naamshwa nikitegemea niko nyumbani dah lah aurah wapi. Akili ilikufanya ganzi alafu taratib nikamuuliza vp? Akaniambia konda wako anakuulizia
mh! Nikijicheki niko mtupu alafu kondom nilizovaa nyengine mlegezo nyingine vipisi kabisa kabisa. NTARUDI VIP NYUMBANI?
Kwa siku zote
Nimeishia kulala gesti na mambo mengine yote anamaliza konda wangu sababu nazompa ni kwamba niko safarini na nimepata dharura
nafsi yangu inanisuta sana si kwa familia tu hata jamii kwa ujumla
naomba ushauri wenu jamani nirudi kwa gia gani?
 
Dakika kumi baadae nikaona dunia kama inazunguka nikatoka nikachukua gari (fuso ya bosi ananiachiaga) nikapakiza familia yangu na watoto wa jirani nikawapeleka beach kisha nikawatelekeza.

Hapa umenitatiza kidogo, hii fuso ikoje??!!! au ni daladala!!??? Au hizi za kubebea mizigo???!! Najarib ku imagine familia ndani ya fuso!!!!!
 
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom