Pombe haina ubaya wowote

Pombe haina ubaya wowote

Inakuaje isiwe na madhara mkuu, na tunaona tuna jamaa zetu wakiwa hawajalewa niwastarab mno...akivisha tu anafanya vitu visivyotegemewa.
Hiyo ndio tabia yao. Sema tu mkiwa hamjalewa mnaona aibu.

Ni kama kusema pesa inabadirisha mtu tabia. Hapana. Ile ni tabia yake, sema umasikini ni kama screen protector.
 
Back
Top Bottom