babukijana JF-Expert Member Jul 21, 2009 13,151 16,082 Apr 29, 2010 #1 mi mpaka mwisho sijaelewa anaongea nini,naona viongozi wetu wana wameshalewa,i mean wana ulevi wa madaraka Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mi mpaka mwisho sijaelewa anaongea nini,naona viongozi wetu wana wameshalewa,i mean wana ulevi wa madaraka
M Mutabora Member Apr 29, 2010 45 4 Apr 29, 2010 #2 babukijana said: mi mpaka mwisho sijaelewa anaongea nini,naona viongozi wetu wana wameshalewa,i mean wana ulevi wa madaraka Click to expand... Mtoto wa nyoka ni nyoka,hata jaji Makame ameingia kwenye politiki na kutaka kujipendekeza kwa wakazi wa Dar na kuwaongezea muda wa kujiandikisha wakati wananchi wa mikoani kilio chao kikipuuzwa. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
babukijana said: mi mpaka mwisho sijaelewa anaongea nini,naona viongozi wetu wana wameshalewa,i mean wana ulevi wa madaraka Click to expand... Mtoto wa nyoka ni nyoka,hata jaji Makame ameingia kwenye politiki na kutaka kujipendekeza kwa wakazi wa Dar na kuwaongezea muda wa kujiandikisha wakati wananchi wa mikoani kilio chao kikipuuzwa.