Hali ya taharuki imetokea katika kijiji cha Bugimbagi kata ya Mwawaza Mjini Shinyanga baada ya Polisi kuvamia na kusambaratisha sherehe ya ndoa inayodhaniwa kuwa binti aliyekuwa akiolewa ni mwanafunzi wa darasa la saba.
Hali ya taharuki imetokea katika kijiji cha Bugimbagi kata ya Mwawaza Mjini Shinyanga baada ya Polisi kuvamia na kusambaratisha sherehe ya ndoa inayodhaniwa kuwa binti aliyekuwa akiolewani mwanafunzi wa darasa la saba.
Aliyeshikwa mkono na polisi ni mwanamke Mwenye umri mkubwa tu aliyekuwa amekaa katika nafasi ya bibi Harusi ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba na kujifanya yeye ndiye anayeolewa kumbe walikuwa wakidanganya askari ndipo askari wakabaini ukweli kuwa mwanamke huyo anawachezea mchezo ili kupoteza ukweli.
Namimi nakaoa kabint ka darasa la saba juma pili hii sijui nikaifungue wapi ndoa yangu kama mambo yenyewe ndio haya yashaharibika na mtoto kala chips zangu za kutosha vijero jero ndio usiseme kwao naonekana kama baba wa familia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.