Umeshawahi kujiuliza vipi polisi wanaweza kupata taarifa ya kichaa kilichoibiwa [emoji44].
Siku izi kesi zimekua nyingi za wizi wa simu Yani zimekua kha kesi za utapeli nyingi mnoo..!!
Uzi ni wako [emoji116]
View attachment 2658801
polisi wanapataje taarifa za Simu yako ikiwa umeibiwa au kupotea [emoji3] maana wapwa mnapenda kujuzwa...!!!!
Uzi ni wako we fanya kutu follow , likes Kisha retweet ndo muhimu si unajua Teknolojia ni Yetu sote.
Unapoenda kutoka taarifa ya kifaa chako kimeibiwa polisi watataka risiti uliyonunulia na taarifa za kifaa chako ukiwa una basi jua utapigwa kalenda inshu yako mpaka ukome labda huwe uko vizuri zaidi.
View attachment 2658802
Ikiwa Simu itaibiwa basi Kuna kitu kinaitwa IMEI number international mobile equipment identity. Ni nambaa za kipeke Katika Kila kifaa Cha Simu ambacho hakiwezi kufanana na kifaa chengine.
View attachment 2658803
Polisi wao uchukua IMEI namba kisha wanaangalia kwenye database kupitia operator mbalimbali nchini ambao ni tigo voda , Airtel , halotel na nk.
View attachment 2658804
watoa huduma wa mitandao mbalimbali huweza kuwapa taarifa polisi kuhusu namba ya simu ya kifaa kilichoibiwa , sms anazo chati na watu , location pamoja na call logs zake anazopiga au kupigiwa.
View attachment 2658805
Yani ata kama ukibadilisha line ukiweka nyingine uka format simu basi wao polisi kupitia IMEI namba wataweza kupata taarifa zako.
Polisi wao wanaangalia namba zako muhimu unazotumia kuwasiliana na watu Kisha wao wanaanza kuwasumbua ndugu jamaa au rafiki zako kwa namna yoyote ile mpaka wakupate pia ukiwa online wanajua eneo ulilopo basi wanakutimbia [emoji3].
View attachment 2658806
polisi wao wanashilikiana na watoa huduma mbalimbali za Simu kuweza kupata taarifa za kifaa kilichopotea ndipo mtuhumiwa anadakwa kwa style hiyo.
View attachment 2658807
Umeshawahi kuibiwa simu ebu tuambie ulichukua hatua Gani kuipata ? Usisahau kushare kwa wengine wajifunze nasi [emoji110]
Follow
Teknolojia ni Yetu sote
View attachment 2658808