alafu hili swala la kutangaza kua kesho tutafanya jambo fulani kwenye vyombo vya habari sijui ndio utendaji gani kwa jeshi la polisi, maana mantiki zima ya kufanya msako ni kukamata, sasa ukitangza jambo sinikwamba unawaambia watu wajifiche...!!! kuna siku hawa polisi walikuawanataka kufanya msako wa kukamata wala bange, vibaka na wazurulaji pale bonde la jangwani, kwa mshangao wangu kamanda kova akawa anatangaza kwenye tv anaongelea juu ya msako huo, nilishindwa kuelewa kabisa nia na dhumuni lake/