Picha mnato peke yake hainikidhi kunipa uwanja mpana wa kuliongelea tukio hili:Video ingenifanya niwe huru zaidi juu ya kulichanganua kwa mapana suala hili japo Picha hii imenifanya nitoe maoni haya
1.kwanza nashukuru kwa media kuweza kufichua hili na ningependa waongeze juhudi zaidi kufichua Police Brutality na excess use of force ya police.Wadau wa Human rights,wanasheria,watunga sheria,na mahakama hii ni changamoto ambayo inakuwa kwa kasi na haijapewa mtazamo unaostahili kwa nafasi zetu na nyakati zetu tulipe angalizo suala hili.
2.Kwako kamanda Mwema kwanza heshima mbele,vijana wako hawana mvuto kwa jamii na ndio chanzo kikuu cha kushindwa kwa mtazamo wako mzuri wa Polisi jamii (community policing) ambao ungeongeza ufanisi wa jeshi lako. Kunyang'anya haki za raia, unyama kwa raia, use of excessive force dhidi ya raia na kutosimamia misingi ya kazi na haki kamwe polisi jamii haitafanikiwa.
Nimefuatilia juu ya ufahamu wa sera la utumiaji nguvu (Law enforcement use of force policy) na kugundua kuwa ni mojawapo ya topic ndogo inayofundishwa CCP ktk somo la Police General duties,nashauri hapa ufanye mabadiliko makubwa kwani kwa dunia ilipo sasa hli ni somo linalojitegemea sana na ndio muhimili wa utendaji kazi wa vijana wakiwa mtaani.Mkuu badili silabi ya mafunzo iende na wakati vijana wafanye mafunzo mara kwa mara hasa hili la use of force ambalo ndio anguko lao kuu kwani vijana wengi wanaongozwa na common sense zao ktk kufanya maamuzi (wkt common sense is not common thing) na hivyo wanajikuta kufanya na maamuzi kinyume na sheria,katiba na misingi ya haki za binadam.
Only good training and proper police practice ndio siri ya kutawaandaa vijana kufanya kazi sahihi.
Boresha maslahi yao na promote their walfare,Polisi ni chanzo kizuri cha pato la taifa pia na hivyo wakisimamiwa vema wanaweza kuinua pato la taifa,kuboresha mazingira yao ya kazi na maslahi yao bila kuiumiza hazina.kwa hili ukiamua utaweza kwani huitaji extra resource sababu tayari unazo mkuu.Baada ya hapo sasa ulete polisi jamii uone kama itashindwa.
kwa wadau ninachokiongea juu ya use of force police nina maana hii
[h=1]Police Use of Force[/h] Police enforce social order through the legitimized use of force. Use of force describes the
"amount of effort required by police to compel compliance by an unwilling subject" [1]. The levels, or continuum, of force police use include basic verbal and physical restraint,
less-lethal force and lethal force.
The amount of force police use should be the minimum amount needed to eliminate the threat presented, thereby minimizing the risk and severity of any injury that may occur.
Police should also:
- Ensure that those injured receive medical aid.
- Ensure that the family of any injured person is notified.
Officers receive guidance from their individual agencies, but no universal set of rules governs when officers should use force and how much.
The level of force an officer uses will vary based on the situation. Because of this variation, guidelines for the use of force are based on many factors, including:
- The police officer (department's) experience
- Available law enforcement technologies and training.
- The complex relationships that may exist between the police and citizens in a given jurisdiction.
3.Kwa mfumo uliopo sasa huyu kijana kupata haki yake ya kisheria juu ya police brutality na excess use of force against him ni ngumu sana sababu waliompiga ni polisi,Pf 3 atapewa na polisi,ataenda kufungua mashitaka polisi,uchunguzi utafanywa na polisi,kibaya zaidi ni kuwa hata mwendesha mashitaka nae ni polisi.