Polisi wajiandaa kumnasua mwenzao anayetuhumiwa kumfyatulia bomu Daudi Mwangosi

Mkuu, je kama itathibitishwa kama bomu lililotumika lilikuwa ni la kivita? Funguka tena mkuu
huo ni utafiti wa maggid
Kwahiyo wewe ni chelea tu hata kama serikali inatumia mabomu ya kivita kwa wananchi wake?
 
Mkuu, je kama itathibitishwa kama bomu lililotumika lilikuwa ni la kivita? Funguka tena mkuu

Kwahiyo wewe ni chelea tu hata kama serikali inatumia mabomu ya kivita kwa wananchi wake?

inasemekana ni bomu la machozi lililopigwa (kwa kumlenga) at close range (<5m), tambua ngozi ya tumbo ni laini sana kuitoboa (hata kwa jiwe la kurusha unaweza) na tumboni kuna pressure kubwa.. na ndio maana matumbo huwa yanafuka nje kama povu. Hizo sumu za bomu la kivita umelishwa na gazeti la maggid 'kwanza jamii'
 
Tuko pamoja:
kinyume na hapo tofauti itakayojitokeza katika ''case proceedings'' itakuwa ni ndogo sana.

Sikubaliani na kukosekana intention ya kuua (actus rea) kwa sababu zifuatazo:

1. Silaha ililengwa kwa marehem, picha zinaonyesha
2. Hilo sio bomu'la machozi; tear gas cannister (kopo) halilipuki bali hufunguka baada ya internal chemical reaction likidondoka na kumwanga moshi wenye sumu ili macho yatoe machozi. Je kulikuwa na moshi wa kuwasha macho baada ya mlipuko hapo? Tangu lini kopo la gas likachanachana mwili wa binadamu hv zaidi ya gruneti la kivita!

Bila shaka uchunguzi utabaini.

Maoni yangu!
 

Labda wewe mgeni hapa JF. Hilo gazeti limetoka jana. Watu tunajadili bomu lililotumika takribani "wiki" sasa

Halafu pressure ya tumbo ingeuchomoza utumbo tu lakini ile picha ya marehemu inaonesha mwili wote ulikuwa vipande vipande. Kawadanganye watoto wa chekechea.

Halafu usijione uko salama. Hivi vyombo vya ulinzi huwa wanauana wenyewe kwa wenyewe,mfano Kombe
 

Ahsante mkuu, natumaini wewe utakuwa umeeleweka zaidi ya mimi

Pia nimeipenda hiyo ya MALICE AFORETHOUGHT picha inaonesha wazi kabisa
 

sawa mtaalam wa mabomu ya kivita
 

Salute Mkuu Pasco! Kama ndo hivyo tunaomba picha zake ili tumhukumu kwa 'bahati mbaya'.
 
Labda wewe mgeni hapa JF. Hilo gazeti limetoka jana. Watu tunajadili bomu lililotumika takribani "wiki" sasa

Halafu pressure ya tumbo ingeuchomoza utumbo tu lakini ile picha ya marehemu inaonesha mwili wote ulikuwa vipande vipande. Kawadanganye watoto wa chekechea.

Halafu usijione uko salama. Hivi vyombo vya ulinzi huwa wanauana wenyewe kwa wenyewe,mfano Kombe
sawa mtaalam wa mabomu ya kivita
Na huyo je?
 
Polisi wanaandaa mashitaka wakimshataki nani ,au umekusudia wanaandaa ushaidi ?
 
Sasa kwa case ya iringa nani atajitolea kuwa bangusilo??RPC!sidhani maana anajua atakosa mafao yake anastaafu karibuni sana...nadhani june mwakani!!hawezi kubali kujitoa mhanga!!
 

Mkuu nashukuru kuona umerudi tena. Maana kuna ku-upepo fulani kalivuma hapa JF juu yako baada ya tukio la kuuwawa kwa Mwangosi (RIP).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…