Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 47
Kuna taarifa kuwa polisi ambao wanaandaa mashitaka kuhusu kijana mwenzao anyetuhumiwa kwa mauaji ya Daudi Mwangosi wanapanga mbinu za kumnasua kijana huyo kwa kutopeleka mashahidi mhakamani baada ya kufunguliwa kwa kesi hiyo.
Wanasheria mtusaidie hii imekaaje kisheria?
Wanasheria mtusaidie hii imekaaje kisheria?