BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Kwaio wewe umeona matusi tuuu basi hamna mengine mliyoyaonaAnachojivunia hadi anatukana watu?
mnakua vipofu kwa yale ya msingi yanayoongelewa lakin yale ya matus mnakua mpo macho wazi
Kwaio wewe umeona matusi tuuu basi hamna mengine mliyoyaonaAnachojivunia hadi anatukana watu?
Apigwe sumu tuNa siku wakimkamataaaaa
Akatae mshahara then ale wapi??
Mmmh mkuu hata kama mange ni chaguo la Mungu, lkn Mungu tusimuhusishe na haya mambo,hyo dada anatukana vibaya sana, tusimkufuru Mungu wetu wala tusimuhusishe na mambo ya kijinga,kuu ingia insta kwa mange matusi mazito ya ajabu sana mdo tumuhusishe Mungu? Kwakweli hapanaMnasema Sisonje chaguo la mungu, kwangu mimi mange ndio chaguo la kweli la mungu. Mungu anamtumia kuonyesha rangi halisi kuhusu huu utawala wa awamu ya tano. Si wametufunga midomo wote hapa tanzania, mungu katufungulia wake kupitia mange.
Mkuu umesema kweli ni hatari sana,lkn huwezi kucheza na serikaliMkuu mm sina tatizo kabisa na harakati za Mange ni nzuri hasa kwa watu wenye kudanganya kuwa rangi zao ni nyeupe kumbe ni rangi nyekundu
Tatizo langu ni kwa nini Classified information na documents za Serikali zinakuwa released to the public jambo ambalo ni hatari sana kwa maadui zetu kama zikija kutoka information hasa za National Security kwani Mange yeye ni mpenda sifa atayetaka jamii imjue kama na yeye anamtandao mkubwa wa kujua siri za GVMT so anaweza zitoa tu je madhara yake uoni ni makubwa kuliko heshima hyo mnayompa Mange sasa hv?
Kuikosoa si tatizo...tatzo ni lugha anayoitumia ktk ukosoaji wake..Yaan mwanzoni alikuwa ananifurahisha ila Sasa naomba atafutwe kwa kila njia na akipatikana apotezwe tu.Mange ni shujaa sisi tunamshangaa coz tumezoea kua makondoo cjui watu kama yeye marekan wako mamilioni wanaikosoa serikali watakavyo mpaka nchi inanyooka
Kumbe Tanzagiza ndio mange?Watu pekee waliobaki wa kuutikisa huu Utawala ni
Tundu Lisu na Mange a.k.a Tanzagiza
u r a disgrace to all TanzaniansKuikosoa si tatizo...tatzo ni lugha anayoitumia ktk ukosoaji wake..Yaan mwanzoni alikuwa ananifurahisha ila Sasa naomba atafutwe kwa kila njia na akipatikana apotezwe tu.
Anadhalisha watu vibaya mnooo!Na anafanya hivyo kwa makusudi huku akitumia lugha ya kiswahili ipi watoto wake wasijue kibachoendelea..hakuna adhabu inayomstahili zaidi umauti period!!!!
Potelea mbali..u r a disgrace to all Tanzanians
Aliwazalo mjinga ndilo linalomtokea...Mungu nisaidie nipate mtoto kama MANGE KIMAMBI
Kila binadam ana mapungufu yake. Huko kuchambua personal life ni upungufu wake, sisi wengine tuna deal na taarifa za madudu anazofanya mtukufu John na vijakazi wake.Nilichokiandika hope umeelewa, sijatumia lugha ngumu.
Japo mimi si mwanasiasa, nimesema anafanya vyema kuonesha nyufa zilizopo kwa viongozi wetu na utawala wao, lkn linapokuja suala la kuchokonoa maisha binafsi ya watu anakua anakosea sana.
Angalia suala la Familia ya Diamond, familia ya Mwamvita, maisha ya Faiza Ally, kina Majizo. Hapa anaharibu sana kuingilia personal issues za watu.
Anaweza akawa na facts lakini kutumia matusi ndio ustaarabu au habari zake akizi post bila kutumia matusi atoeleweka?Kwaio wewe umeona matusi tuuu basi hamna mengine mliyoyaona
mnakua vipofu kwa yale ya msingi yanayoongelewa lakin yale ya matus mnakua mpo macho wazi
Ndio maana Mungu katunyima mamlaka ya kuwa kama yeyeKuikosoa si tatizo...tatzo ni lugha anayoitumia ktk ukosoaji wake..Yaan mwanzoni alikuwa ananifurahisha ila Sasa naomba atafutwe kwa kila njia na akipatikana apotezwe tu.
Anadhalisha watu vibaya mnooo!Na anafanya hivyo kwa makusudi huku akitumia lugha ya kiswahili ipi watoto wake wasijue kibachoendelea..hakuna adhabu inayomstahili zaidi umauti period!!!!
Mange kaumiza maisha ya watu wengi sana, kachonganisha mahusiano ya watu, ni mtu wa 'kwanini', ana wivu sana anapoona mwanamke mwenzie anatusua.
Ni kundi la watu aina ya 'psychopath' - yani mtu mwenye chuki sana na watu, hana huruma na yupo tayari kuona damu ya mwenzie ikimwagika ndio furaha ije usoni mwake.
Japo kwa upande mwingine anaraise issues ambazo zinatuhusu , hasa uovu wa watawala wetu, lkn katika suala la maisha ya watu binafsi anakosea sana.
Watu wengine hawanaga maneno, hawataki visasi, utawaharibia lkn karma haitakuacha ukatize salama.