Sio hivi karibuni!..Ikiwezekana ashikwe tuu alazwe
Mange kaumiza maisha ya watu wengi sana, kachonganisha mahusiano ya watu, ni mtu wa 'kwanini', ana wivu sana anapoona mwanamke mwenzie anatusua.
Ni kundi la watu aina ya 'psychopath' - yani mtu mwenye chuki sana na watu, hana huruma na yupo tayari kuona damu ya mwenzie ikimwagika ndio furaha ije usoni mwake.
Japo kwa upande mwingine anaraise issues ambazo zinatuhusu , hasa uovu wa watawala wetu, lkn katika suala la maisha ya watu binafsi anakosea sana.
Watu wengine hawanaga maneno, hawataki visasi, utawaharibia lkn karma haitakuacha ukatize salama.
Hiyo Lisbon ulivyoiandika ni kama ya Ureno.Anajiita LizabonHata Lisbon wa lumumba
Kwa passport ya nchi gani mkuu?huyu dada aombe refugee status tu
Thubutuuu
Sidhani hii inamaana hapa..Ni kawaida kwa mwanamke wa Kipare, yaani ni washirikina sana na wana wivu wa kijinga.
Mi sijabahatisha kuwanasibisha,kuna masuala flani wanarandana sana,ni jambo nililolifanyia kazi muda kidogoNadhan ni yy ukifatilia hoja nyingi za lara 1 na. Mange zinashabihiana possibly ni yeye huyo
u r pathetic, u can't even argue with facts, u r a disgrace to all men in this worldNi kawaida kwa mwanamke wa Kipare, yaani ni washirikina sana na wana wivu wa kijinga.
Kwaio kaumiza na maisha ya daudi bashite sio kwamba yote yanayosemwa anasingiziwaMange kaumiza maisha ya watu wengi sana, kachonganisha mahusiano ya watu, ni mtu wa 'kwanini', ana wivu sana anapoona mwanamke mwenzie anatusua.
Ni kundi la watu aina ya 'psychopath' - yani mtu mwenye chuki sana na watu, hana huruma na yupo tayari kuona damu ya mwenzie ikimwagika ndio furaha ije usoni mwake.
Japo kwa upande mwingine anaraise issues ambazo zinatuhusu , hasa uovu wa watawala wetu, lkn katika suala la maisha ya watu binafsi anakosea sana.
Watu wengine hawanaga maneno, hawataki visasi, utawaharibia lkn karma haitakuacha ukatize salama.
Hapo umetutukana sisi wanaume mkuu?I love Mange, Ni zaidi ya baadhi ya viumbe humu wanaokwenda haja ndogo wima