Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,864
- 5,672
Unawajua wanaompasia hizo nyeti za ndani ya Serikali yako? Hao hao watamtengenezea passport nyingine na kuituma kwake kirahisi sana.
"The Home of Great Thinkers"
mkuu umenichekesha sana, passport siyo kadi ya chanjo unatengeneza na kutuma, kwanza passport huwezi kuituma ikavuka mpaka wa nchi kama document yoyote, pia passport lazima achukulie ubalozini wa nchi anayoishi, na system siyo unaweza kutoa kinyemela tu, japo passport ni haki kwa raia wote lakini uhamiaji wanauwezo wa kukupa au kukunyima.