JAmani mbona mwaenda mbaali saaana ,mwafika Afghanistani ,yaani hayo bado hayajashinda hata yale ya Unguja ,na zaidi kule Pemba 2001 , Zenji ni kawaida na sasa imekuwa ni mazoea na karibu itakuwa kama mchezo,si unaona Palestina kule imekuwa kama mchezo kati ya raia na majeshi ya Israel ,, Yaani mpalestina anaweza kutafuta japo korokochi na kumchokoza jeshi wa Izrael ili wapate kutimuana na ni kawaida ,wapalestina wanajua kuwa probability ya kifoau kujeruhiwa ipo ,huwa wameshaondoa hofu ,ndio karibu wazenji watafikia stage hio.
Poleni sana ila mtazoea tu.
jamani watu wa dar mmeshindwa kutafuta ukweli wa habari hizi...
MUKE WA MUZUNGU ameshindwa kupiga picha hapo unaelewa? au inaeleweka?
Pole sana dada. Muzungu Yuko wapi ? Au amejifungia kabatini? Siku nyingine ukiogopa uniambie kaka yako Nije kulala huko na upinde wangu,sawa dada!mkuu, nilishuka kwenye gari kuelekea eneo la tukio nikiwa na simu. matarajio yangu yalikuwa ni kupiga picha na simu yangu lakini kwa bahat mbaya nililazimika kukimbia kabla ya kupiga picha plae risasi zilipokuwa zinapigwa kuelekea upande wetu, matokeo yake nikageuza na kurudi nyumbani. yaani nilishtuka sana, na mpaka sasa hivi nimeshindwa kulala. naona nightmares, siwezi hata kuzima taa
Rip wananchi waliofariki na hao maaskari wakafie mbali maana wanatumwa na kujitoa ufahamu!
Pole sana dada. Muzungu Yuko wapi ? Au amejifungia kabatini? Siku nyingine ukiogopa uniambie kaka yako Nije kulala huko na upinde wangu,sawa dada!
Pole sana kwa hizo images na inaweza take time kuisha polemkuu, nilishuka kwenye gari kuelekea eneo la tukio nikiwa na simu. matarajio yangu yalikuwa ni kupiga picha na simu yangu lakini kwa bahat mbaya nililazimika kukimbia kabla ya kupiga picha plae risasi zilipokuwa zinapigwa kuelekea upande wetu, matokeo yake nikageuza na kurudi nyumbani. yaani nilishtuka sana, na mpaka sasa hivi nimeshindwa kulala. naona nightmares, siwezi hata kuzima taa
Hapo ndipo Huyo Muzungu atakavyojua kwa nini uswazi naitwa Shaka Zulu.Mmmmmmmmmmmm!!!!
Wewe na upinde wako ukifika utamkuta mzungu yupo na Bastola. Sijui nani atakuwa zaidi.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!