jaffari odhiambo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 526
- 13
Polisi na maliasili Bunda wamechachamaa kukamata wanaoleta mkaa mjini hapa jana na leo. Polisi na hao maliasili wanawasaka waleta mkaa kwa kutumia gari la maliasili na wakiwakamata wanachukua na baisikeli zao.
Jamani hili suala linakera sana maana hao wanaoleta mkaa sio wakataji wa moto maana wao wamenunua ili wauze na kupata angalau pesa ya matumizi. Sasa kama hali ya kijijini ni ngumu vile tujuavyo kweli hawa sio kwamba wananyanyaswa?
Halafu huo mkaa wanagawana na ukibaki wanauza na kugawana pesa. Je, mbona wao sasa wanauza?
Jamani hili suala linakera sana maana hao wanaoleta mkaa sio wakataji wa moto maana wao wamenunua ili wauze na kupata angalau pesa ya matumizi. Sasa kama hali ya kijijini ni ngumu vile tujuavyo kweli hawa sio kwamba wananyanyaswa?
Halafu huo mkaa wanagawana na ukibaki wanauza na kugawana pesa. Je, mbona wao sasa wanauza?