Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
"Tunawahakikishieni tutawakamata waliomuua Barlow!" duh!
Kama mna hakika kwa nini msiwakamate kwanza kisha ndio mtujuze? Kama mna uhakika, kwa nini mnakimbilia kutafuta msaada Interpol? Kauli kama hizo hutolewa na wanasiasa, tena nao hutumia neno 'tutajitahidi kuwakamata au tutatumia kila uwezo tulionao kuwakamata. Polisi mnakuja na hakikisho utadhani mmekuwa wanajimu!!!!
Natoa wito mapolisi wasipewe mic kwenye hadhara yoyote walau kwa miaka 2.......mbona wahalifu wengi tu mmeshindwa kabisa kuwakamata?
Kama mna hakika kwa nini msiwakamate kwanza kisha ndio mtujuze? Kama mna uhakika, kwa nini mnakimbilia kutafuta msaada Interpol? Kauli kama hizo hutolewa na wanasiasa, tena nao hutumia neno 'tutajitahidi kuwakamata au tutatumia kila uwezo tulionao kuwakamata. Polisi mnakuja na hakikisho utadhani mmekuwa wanajimu!!!!
Natoa wito mapolisi wasipewe mic kwenye hadhara yoyote walau kwa miaka 2.......mbona wahalifu wengi tu mmeshindwa kabisa kuwakamata?