Polisi mkoa wa Mara matatani

Polisi mkoa wa Mara matatani

sasa kama wameshangaa Raia wapo Mtaani wao wangefanyaje! CCM bana duu balaa buluuu
 
Kulingana na mikutano, na maandamano ya Chadema, wakuu wa polisi Mara wametakiwa kujieleza
 
Inawezekana maana wameenda kinyume na taarifa za intelijensia..
 
Polisi hao ninawapongeza sana kwani wamewajibika vizuri, pia polisi wa Mikoa mingine waige mfano huo wa polisi wa Mkoa wa Mara, vilevile polisi tusiwe waganga wakienyeji kwa kutabiri mambo yatakayo tokea Kwenye mandamano badala yake pelekeni ulinzi. Pia polisi msidhani kuwa nyie ndio watoa vibali kwa ajili ya mikutano,maanamano au mikusanyiko ya Aina yeyote Bali mnapewa taarifa kwa ajili ya kutoa ulinzi tu.
 
Ni vema tukaiuliza ile misukule ya Lumumba kwa kilichotokea kule Mara kuna mwananchi yeyote aliyedhurika na yale maandamano?
 
Mimi nawashauri kwenye mahojiano waseme...mikutano na maandamano ni haki ya kikatiba ya kila mtanzania. La msingi yawe ya amani kama ya CHADEMA.
 
harafu kazi utawapa wewe

Kwani wamekosea nini kuruhusu mikutano na maandamano ya CHADEMA? Wakifukuzwa watajiunga na jeshi la ukombozi la kupigania haki na usawa chini ya CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wake.
 
Safi sana ...mkifukuzwa ruksa kuongeza nguvu ya mapambano CDM ..
 
Back
Top Bottom