Kama hamuwezi kuwapata majahili wa Kibiti basi msichimbe mkwara kwa Kubenea kwamba Tanzania ni ndogo. Kwa hiyo kwa Kubenea kumpata rahisi, kwa majambazi ndio hamuwezi? Nakwambia chizi wewe!
Mtanzania halisi, badala ya kufanya kazi kwa juhudi uwe kama Lissu, wewe umekaa kumchukia unadhani hizo chuki zako dhidi yake zitamshusha awe maskini na mjinga kama wewe. Kama mwenyekiti wenu tu..."Natamani hao waliokuwa wanaishi kama malaika waishi kama mashetani"!
Basi kama Kubenea hajifichi hakuna haja ya kumwambia Tanzania ni ndogo jitokeze mwenyewe.
Muwe mnajua nini cha kuongea mbele za umma nyinyi spokespeople wa taasisi za umma.
Kamanda Sirro: Rufijiji ni mbali mno, polisi hawafiki, huko jilindeni wenyewe
Kamanda Mkondya: Tanzania ni ndogo sana mbunge Kubenea jitokeze mwenyewe
Na wewe unawatetea hawa flat-footed police clowns hawa? Eti Tanzania ni ndogo kwa Kubenea kwa sababu Kubenea yeye hajaua. You are psychotic, mwehu mkubwa wewe!