Huwa naskia mara nyingi kwenye filamu pia hata mitaani huku kuwa mtu akikamatwa na makachero wanampeleka kituo cha kati
Au sa nyingine polisi anajitambulisha kuwa anatokea kituo cha kati. Sasa kituo cha kati ndo wapi hapo kwa mfano kwa hapa Dar es salaam kituo cha kati ndo kipi hicho hadi kinakuwa maarufu hivyo? Nimeshindwa hata ku Google nipate jibu hivo naombeni mnisaidie. Kuuliza sio ufala
Wewe ni mgeni Dar es alaam, muombe mwenyeji wako akupeleke Kama wewe ni raia mwema, unataka kupajua kwa wema Tu. Kuulizia hapa unatutia shaka kidogo, mkazi wa Dar asipopajua atapafikia bila kuuliza hapa maana Jirani take anapajua.
Wewe ni mgeni Dar es alaam, muombe mwenyeji wako akupeleke Kama wewe ni raia mwema, unataka kupajua kwa wema Tu. Kuulizia hapa unatutia shaka kidogo, mkazi wa Dar asipopajua atapafikia bila kuuliza hapa maana Jirani take anapajua.
Ahaa ina maana kwa lugha rahisi tunaposema kituo cha kati tunamaanisha ni makao makuu ya polisi ya kimkoa mathalani hicho cha azikiwe kwa Dar es salaam.. Hivyo hivyo hata mkoani