McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Jeshi la Polisi nchini limetoa taarifa kuhusu operesheni inayoendelea ya kuwasaka watu waliopanga na kutekeleza vitendo vya uhalifu, uvunjifu wa amani na uharibifu wa mali za umma kufuatia matukio yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025 katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, baadhi ya waliopanga matukio hayo tayari wamekamatwa na kufikishwa mahakamani, huku msako mkali ukiendelea kwa wengine. Polisi imetaja majina ya watu wanaotafutwa kuwa ni:
Jeshi la Polisi nchini limetoa taarifa kuhusu operesheni inayoendelea ya kuwasaka watu waliopanga na kutekeleza vitendo vya uhalifu, uvunjifu wa amani na uharibifu wa mali za umma kufuatia matukio yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025 katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, baadhi ya waliopanga matukio hayo tayari wamekamatwa na kufikishwa mahakamani, huku msako mkali ukiendelea kwa wengine. Polisi imetaja majina ya watu wanaotafutwa kuwa ni:
- Josephat Gwajima
- Brenda Jonas Rupia
- John Mnyika
- Godbless Jonathan Lema
- Machumu Maximillian Kadutu
- Deogratius Cosmas Mahinyila
- Boniface Jacob
- Hilda Newton
- Award Kalonga
- Amaan Golugwa