Polisi anakula kitu roho inapenda.

Aaah..nilifikiri kama ya wale matrafiki waliobambwa na kutemeshwa kibarua
 
Jinsi pua ukinusa mfano vitu vya maabara jinsi unvyosikia zinavyouma kwa ndani na huwa nikiwaona hawa watu wanaopyenga huwa nafikiria sijui hawasikii maumivu puani!
 
Ni mfano mzuri ili wakishughulikia wahalifu wanaotumia bila kibali cha 'mkuu wa polisi' wawashughulikiie wakijua athari practically
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…