Kiukwel zile buk5 hua ni kusaidiana tuu maana wakisema kila kosa wawe wanachkua 30,nahis mshahara wote utaishia road..maana hata zebra sasa hiv wameanza komaa nayo,
Kuna askar anakaga pale magomen karib na kituo cha mwendokas,ukikanyaga zebra unae,
Sasa na mi tochi hii ya bagamoyo road leo si wataua watu leo..daah,alierekod msen*ge kwel.