wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Salam ndugu,
Kuna huu ukasumba kila unapopoteza kitu ama nyaraka basi ni lazima ulipoti polisi na upewe barua.
Hapa nitazungumzia upande wa vitambulisho, mfano chuo, NHIF, kadi ya benki n.k
Sasa mimi kama" id holder" naripoti kwako id issuer" kuwa nimepoteza kadi yangu ya utambulisho,hunipi huduma eti hadi niende polisi.
Sasa kati ya polisi na wewe mtoa kadi nani anazotaarifa zangu?
Maana chochote kitachotokea,mwenye kitambulisho atahusika.
Binafsi naona huu ukiritimba uondoke tu maana unapoteza muda kwenye kupata huduma.
Ibakie uamuzi wa muhusika kama anaona inampendeza kuripoti polisi.
Kuna huu ukasumba kila unapopoteza kitu ama nyaraka basi ni lazima ulipoti polisi na upewe barua.
Hapa nitazungumzia upande wa vitambulisho, mfano chuo, NHIF, kadi ya benki n.k
Sasa mimi kama" id holder" naripoti kwako id issuer" kuwa nimepoteza kadi yangu ya utambulisho,hunipi huduma eti hadi niende polisi.
Sasa kati ya polisi na wewe mtoa kadi nani anazotaarifa zangu?
Maana chochote kitachotokea,mwenye kitambulisho atahusika.
Binafsi naona huu ukiritimba uondoke tu maana unapoteza muda kwenye kupata huduma.
Ibakie uamuzi wa muhusika kama anaona inampendeza kuripoti polisi.