Safi sana maana siku ya Jumanne mjini Iringa, POLISI waliona jinsi wananchi walivyo na hamasa ya kusikiliza ujumbe wa M4C, tujukumbushe hali ilivyokuwa mjini Iringa jumanne 28/08/2012 wakati msafara wa M4C ukiingia mjini Iringa:
Kuna mazingira inabidi upime upepo unaelekea wapi maana ukipingana nao utaumia mfano mzuri uchaguzi mkuu Mwanza ilibidi kamanda Siro akubaliane na hali halisi na kuruhusu watu washangilie ushindi wa Wenje na Highness wakipita pembeni mwa barabara bila kuzuia magari wakati kuna mazingira tumeshuhudia watu wakitawanywa
Nina wasiwasi huenda mikutano ya chadema ikazuiwa mpaka melis zenawi atakapo zikwa! Sababu zitakuwa msiba huo kukosa watu na kuingiliana na mikutano ya Chadema! Lakini pia kwa kuwa hakutakuwa na walinzi wa kutosha kulinda mkutano huo.
Sent from mouddymtoi BlackBerry 8520 using JamiiForums.com
Mkuu, hawa ccm magamba (polisi) sio wa kuwaamini sana. inawezekana anasema hivyo leo halafu kesho akatugeuka. ngoja tumsikilizie kwanza. hizi zama sio za kuwaamini sana ccm, wanatuwinda usiku na mchana, hawachelewi kubadilisha maneno. SIKU HIZI HATA RISASI WAMEBADILISHA JINA, WANAITA KITU CHENYE NCHA KALI!!!!!!!!!!!!!
Tuendeleeni kuwaelimisha wananchi, waelimike ili waling'oe madarakani hili li-serikali la ccm MAONGO/MAFISADI/MAJAMBAZI/WAUAJI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.