johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Je, katika hili Komredi Polepole yuko sahihi au amebwabwaja tu?
Mlale unono 🙏
Mlale unono 🙏
Unafiki ni tatizo la Watanzani wote.Hilo tatizo sio la ccm tu bali karibu vyama na wanasiasa wote, Polepole yupo tofauti sana na wanaisa maslahi ambao wapo kwenye vyama vyote likija jambo linalohusu maslahi yao wapo pamoja.
Kwani pole pole ndo alimtuma kuteka watu?Polepole ni mnafiki tu, hana lolote, ana chuki binafsi na Mh. Rais wetu Mama Samia