Polepole ni mnafiki kama wanafiki wengine

Kipindi cha Jiwez, alikuwa ndiye mtongoza na mhongaji wapinzani wajiunge CCM, alitumiwa sana kuua Demokrasia nchini, mfumo wa sasa umemuweka kando anajaribu kujambisha tu pengine apewe cheo, kwa ujumla hana nguvu hiyo ajayojitapa anayo...
 
Kwa hiyo wewe hapa duniani hujawahi kutenda kosa lolote?
 
Duniani wanafiki ni wengi lakini kwenye hili alilofanya ni kama katubu maovu yake!
 
Kipindi cha Jiwez, alikuwa ndiye mtongoza na mhongaji wapinzani wajiunge CCM, alitumiwa sana kuua Demokrasia nchini, mfumo wa sasa umemuweka kando anajaribu kujambisha tu pengine apewe cheo, kwa ujumla hana nguvu hiyo ajayojitapa anayo...
Maisha yapo mbele... Huwezi kumtupa mtu motoni kisa maisha yake ya awali hata kama kaongoka, katubu na kujiengua upande wa dhuluma!
FUATILIA:
Mtume... Mitume.... Manabii... wote walikuwa na awali yenye mashaka lakini mwisho mwema!
 
Mnafiki alijenga daraja mtaani kwenu utaacha kupita? Unafiki anao na ni boya kweli, ila wacha tumtumie
 
mnafiki ni wewe! NI WEWE!!!;
 
Achana na hizo abracadabra; tueleze uongo aliousema.
 
Kuna kuokoka mwanangu. Leo tuko wote kwenye conference
 
Kwa hiyo wewe hapa duniani hujawahi kutenda kosa lolote?
Shida sio kwamba aliwahi kufanya makosa na Sasa kaacha.
Shida ni kwamba hajaacha kabisa kufanya hayo makosa,
Shida ni kwamba yeye TU haelewani na huu utawala uliopo Sasa hivi.
Huyu Bwana kama kesho utawala uliopo ukiondoka atarudi kundini CCM,na Tabia ya CCM ni Ileile.
Maovu yote na uhuni wote anaojifanya kuyakataa Leo,yaliyofanywa wakati wa Mwendazake, alikuwemo kwenye mfumo na hakukemea chochote.
Nakuhakikishia baada ya utawala huu kupitia huyu Bwana atarudi kwenye mfumo na uhuni wote utaendelea kama kawaida.
 
Kuna mwanasiasa asiyekuwa mnafki?
Hayupo,ndio maana Mimi simshabikii kwa( haya yanayotokea) na ninaona wacha aonje uchungu wa dawa alioshiriki kuwalisha wengine,na wala simuoni kama mwanamapinduzi wa kweli.
 
Kuna kuokoka mwanangu. Leo tuko wote kwenye conference
Nakubaliana na wewe 100 kwa 100 kua Kuna kuokoka ,ila kwa huyo na wengine kama yeye huko CCM hakuna kuokoka ni upepo TU mbaya umempitia, upepo huo uliopita utazijua rangi zake halisi.
Kuna watu walikua wanarekodiwa kwenye utawala aliokua anaufurahia nao waliishi kwa hofu kama aliyonayo yeye Leo hii,tuadhani watu hao wameokoka lakini Leo wamerudi kundini na wanafurahia kuona walio nje wakiteseka wala hawajakemea.
Unakumbuka Nape na kinana walirekodiwa?
Je huo haukua uhuni?
Polepole aliukemea uhuni huo?
Je nape naweza kuukemea uhuni huu unaofanyika Leo hii ?
 
Kinachomtesa huyu si uzalendp ila ni tim ndan ya kijani.
 
Hayupo,ndio maana Mimi simshabikii kwa( haya yanayotokea) na ninaona wacha aonje uchungu wa dawa alioshiriki kuwalisha wengine,na wala simuoni kama mwanamapinduzi wa kweli.
Ila Polepole angeweza kuwa chawa na kuendelea kula maisha.
 
Ila Polepole angeweza kuwa chawa na kuendelea kula maisha.
Polepole,Kakurwa,Ngugai na wenzake hawakumkubli Mama Yao na walitamani kumuengua.Aliemuokoa Mama Yao na Afande.hivyo hata nafasi ya uchawa asingeipata.
 
CCM wote hakuna mtu wa maana ila Kuna wenye nafuu ila wewe huenda ndiyo mjinga wa Mwisho maana hujaona tatizo
 
This time sio mnafiki kapiga kwenye mshono. Kamuibua dr Malisa Phd.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…