Polepole na Profesa Kabudi ogopeni sana teknolojia

Polepole na Profesa Kabudi ogopeni sana teknolojia

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Leo hii hawa watu wawili wanaibuka na kusema kuwa kwa sasa kama taifa halihitaji Katiba mpya.

Wamesahau kuwa walishiriki mchakato wa mapendekezo ya kuipata rasimu ya katiba mpya.

Hawa watu wanajiondolea sifa ya kuwa viongozi wa taifa letu maana hawana sifa tena.
 
Leo hii hawa watu wawili wanaibuka na kusema kuwa kwa sasa kama taifa halihitaji Katiba mpya.

Wamesahau kuwa walishiriki mchakato wa mapendekezo ya kuipata rasimu ya katiba mpya.

Hawa watu wanajiondolea sifa ya kuwa viongozi wa taifa letu maana hawana sifa tena.View attachment 1844479
Hao wameamua kujitoa ufahamu ili kuganga njaa zao,wapuuzwe tu.
 
Leo hii hawa watu wawili wanaibuka na kusema kuwa kwa sasa kama taifa halihitaji Katiba mpya.

Wamesahau kuwa walishiriki mchakato wa mapendekezo ya kuipata rasimu ya katiba mpya.

Hawa watu wanajiondolea sifa ya kuwa viongozi wa taifa letu maana hawana sifa tena.View attachment 1844479
Wanakula MATAPISHI yao Kabla Hawajawa WABUNGE na UWAZIRI Walitaka KATIBA MPYA leo Wanakula KEKI ya TAIFA HAWATAKI KATIBA MPYA
JamiiForums-2142079951.jpg
JamiiForums-1827926957.jpg
 
Leo hii hawa watu wawili wanaibuka na kusema kuwa kwa sasa kama taifa halihitaji Katiba mpya.

Wamesahau kuwa walishiriki mchakato wa mapendekezo ya kuipata rasimu ya katiba mpya.

Hawa watu wanajiondolea sifa ya kuwa viongozi wa taifa letu maana hawana sifa tena.View attachment 1844479
Hawa ndio mifano halisi ya wale wanasiasa malaya malaya alio wasema Mwl Nyerere
 
Unafiki wa wanasiasa wa kiafrica ni mkubwa .. ajili moja tu matumbo yao yashibe kwanza...wapo radhi kuyakana waliyosema haradhani bila aibu yoyote ile...macho makavu

Ni kweli Technologia inawaumbua wote ili familia zao nazo zijue zina baba ama mama wa namna gani.
Leo hii hawa watu wawili wanaibuka na kusema kuwa kwa sasa kama taifa halihitaji Katiba mpya.

Wamesahau kuwa walishiriki mchakato wa mapendekezo ya kuipata rasimu ya katiba mpya.

Hawa watu wanajiondolea sifa ya kuwa viongozi wa taifa letu maana hawana sifa tena.View attachment 1844479
..
 
Tumbo lisilo jaa lina nguvu ya kuburuza akili inayoongoza mifumo yote ya mwili.
Ogopa Sana ikiwa kama ktk jamii watu wapo tayari kutoa mama, motto n.k kafara ili apate mali, cheo.
 
Unafiki wa wanasiasa wa kiafrica ni mkubwa .. ajili moja tu matumbo yao yashibe kwanza...wapo radhi kuyakana waliyosema haradhani bila aibu yoyote ile...macho makavu

Ni kweli Technologia inawaumbua wote ili familia zao nazo zijue zina baba ama mama wa namna gani.

..
Ktk mataifa ya watu walio staarabika hawa watu hawakutakiwa kukubali teuzi
 
Leo hii hawa watu wawili wanaibuka na kusema kuwa kwa sasa kama taifa halihitaji Katiba mpya.

Wamesahau kuwa walishiriki mchakato wa mapendekezo ya kuipata rasimu ya katiba mpya.

Hawa watu wanajiondolea sifa ya kuwa viongozi wa taifa letu maana hawana sifa tena.View attachment 1844479
Karne ya wasomi hovyo na wanasiasa uchwara
 
Hawa wasomi wana waaibisha wasomi wa kweli kisa kupigania matumbo yao.
Ningekuwa ni mwenye mamlaka ningewatoa kwenye nafasi walizonazo ili nipime kina cha akili zao nje ya madaraka
 
Ningekuwa ni mwenye mamlaka ningewatoa kwenye nafasi walizonazo ili nipime kina cha akili zao nje ya madaraka
Watu kama hao wakishakuwa nje yq system wanageuka na kuwa wakosoaji wakubwa wa watawala.
 
Leo hii hawa watu wawili wanaibuka na kusema kuwa kwa sasa kama taifa halihitaji Katiba mpya.

Wamesahau kuwa walishiriki mchakato wa mapendekezo ya kuipata rasimu ya katiba mpya.

Hawa watu wanajiondolea sifa ya kuwa viongozi wa taifa letu maana hawana sifa tena.View attachment 1844479
Sifa za mwanasiasa uchwara ni kusaka welekeo wa upepo. Hawana stability. Hawa kufuata upepo huwahakikishia shibe.unafiki ni moja ya cv zao zinazowahakikishia teuzi na kudumu kwao kwenye hizo teuzi !!!
 
Back
Top Bottom