Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
*NUKUU ZA NDG. POLEPOLE KWENYE KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM YA ARUSHA MJINI.*
22 Februari 2018
1. "Viongozi wote wa Chama na Serikali wanapaswa kufikika wakati wote" Ndg. Humphrey Polepole
2. "Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha shughulika na viashiria vya watu wanaoweza kutugawa, tutafanikiwa kama tutakuwa wamoja"
Ndg. Humphrey Polepole
3." Tunarudi kwenye misingi ya Chama chetu na watu wa muhimu kabisa kwenye chama chetu ni wanachama".
Ndg. Humphrey Polepole
4. "Kwenye Chama chetu muhimu sana wote kuwa na nidhamu na kuchapakazi kwa bidii".
Ndg. Humphrey Polepole
5." Kushinda uchaguzi kazi rahisi sana kama tutawajibika kuisimamia serikali yetu vizuri".
Ndg. Humphrey Polepole
6. "Viongozi wa Chama ngazi zote tengenezeni utaratibu wa kujua kero za wananchi, zipi zimetatuliwa na zipi bado".
Ndg. Humphrey Polepole
7. "WanaCCM tokeni mkaseme kwa wananchi nini serikali inafanya na
kwanini inafanya inayoyafanya".
Ndg. Humphrey Polepole
8. "Ukiona mtu anasema miaka 50 hakuna kitu kilichofanyika mwambie sina tatizo na wewe na tatizo na baba yako ambaye hakukwambia tulipotoka".
Ndg. Humphrey Polepole
9. "Ujumbe wangu mkuu leo ni Chama Kuisimamie serikali katika ngazi zote".
Ndg. Humphrey Polepole
Imetolewa na,
*IDARA YA ITIKADI NA UENEZI*
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
22 Februari 2018
1. "Viongozi wote wa Chama na Serikali wanapaswa kufikika wakati wote" Ndg. Humphrey Polepole
2. "Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha shughulika na viashiria vya watu wanaoweza kutugawa, tutafanikiwa kama tutakuwa wamoja"
Ndg. Humphrey Polepole
3." Tunarudi kwenye misingi ya Chama chetu na watu wa muhimu kabisa kwenye chama chetu ni wanachama".
Ndg. Humphrey Polepole
4. "Kwenye Chama chetu muhimu sana wote kuwa na nidhamu na kuchapakazi kwa bidii".
Ndg. Humphrey Polepole
5." Kushinda uchaguzi kazi rahisi sana kama tutawajibika kuisimamia serikali yetu vizuri".
Ndg. Humphrey Polepole
6. "Viongozi wa Chama ngazi zote tengenezeni utaratibu wa kujua kero za wananchi, zipi zimetatuliwa na zipi bado".
Ndg. Humphrey Polepole
7. "WanaCCM tokeni mkaseme kwa wananchi nini serikali inafanya na
kwanini inafanya inayoyafanya".
Ndg. Humphrey Polepole
8. "Ukiona mtu anasema miaka 50 hakuna kitu kilichofanyika mwambie sina tatizo na wewe na tatizo na baba yako ambaye hakukwambia tulipotoka".
Ndg. Humphrey Polepole
9. "Ujumbe wangu mkuu leo ni Chama Kuisimamie serikali katika ngazi zote".
Ndg. Humphrey Polepole
Imetolewa na,
*IDARA YA ITIKADI NA UENEZI*
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)