"Nimefanya ka research kidogo, kuongea na manguli kadhaa wa kadhaa pia kuchukua wasaa kujiridhisha."
Yafuatayo ni Yatokanayo:
Ashukuriwe mwana halisi wa nchi hii Humphrey bin Polepole aliyeutambua u Tanzania wake kama thawabu kubwa zaidi mno, dhidi ya uchawa na uchama.
Kasema Polepole mifumo ihusikanayo na uchaguzi imekuwa inachezeka vilivyo kutokea CCM. Jambo hili si dogo, "a very serious issue!" Kwamba wako na "unauthorized, full access," wahuni wasiyopaswa kuwa nayo.
Hii ina maana kutokea CCM kuna milango ya kuingilia kwa wakati wao na kufanya mabadiliko yoyote: ikiwamo kufuta, kuhariri, kurekebisha, kuongeza, kupunguza, nk, lolote; kama inavyoweza kuwapendeza wao kwa wakati wowote. Kwamba kwa mfano, CCM wanazo funguo zote za spare za vyungu vyote muhimu, ikiwamo vya tume ya uchaguzi!
Anachoitisha Polepole ni kitu muhimu sana. Kuwa inatakiwa kufanyika "total forensic audit" ya hiyo mifumo yote iliyotajwa, na hasa ya vyungu (servers) vya pale tume ya uchaguzi.
Ikumbukwe kwa Kenya waliokuwa wanashikilia funguo za vyungu vya IEBC wakati Ruto akifanza vitu vyake, leo wote ni marehemu. Humo wamo yule ambaye ni wazi kuwa aliuwawa na bwana Wafula Chebukati mkurugenzi mkuu IEBC, aliyekufa chigafla akiwa na miaka 61, "mysteriously" kama Magufuli tu.
Forensic audit yataka ubobezi. Zieleweke taarifa zote za ma vyungu yaliyopo, database gani, apps gani, na makorokoro kadha wa kadha wezeshi husika yanayo ikamilisha mifumo husika.
"Zionekane log files zote zenye kutunza kumbukumbu zote za utendaji wa vyungu vyenyewe. Kwamba nani alingia, alingia lini, kutokea wapi, akawepo muda kwa gani, akafanya nini, nk."
Uzuri mifumo hii mamboleo, huwezi kuzitoroka wala kuzifanyia karabati log files, nje ya kuzifuta tu. Kama zimefutwa hiyo nayo ni taarifa muhimu ya ukaguzi zaidi. Tangu lini mhalifu akaweza kuondosha alama zake zote kwenye eneo la tukio? Hapo pia bado cross examination za viwango vya kina Chibatala au TAL. Kwamba ni lini ziliwahi mwacha m'bambika kesi gani, wapi salama?
Kwamba taarifa zote, za nani kaingia, tarehe ngapi, saa ngapi, kutokea wapi, kafanya nini nk, nk, zipo? Hapa si ni kama chui tu aliyeng'ng'aniwa na fisi kwa mkia?
Kwani kunatakikana nini basi wandugu hata tukafike huko kwenye kufukua makaburi? Kaorodhesha Polepole pale mambo yote ya kufanywa, tena kwa unyenyekevu mkubwa. Kulikoni yafike mbali hadi wakaanze kupatikana kina Balali? Kwamba hata hao nao kumbe wangali hai?
Tusifike mbali hadi tukafikishana kukimbizana na ma interpoli right, left and center, wakati sote ni ndugu. Yote ya nini? Polepole anaomba: "kupisha shari, si kumwagwe oil tu?"
Si ashauriwe mama sawa sawa, tena kwa unyenyekevu mkubwa amwage oil, wakati ungalipo!
Pia soma : GE2025 - Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba
Yafuatayo ni Yatokanayo:
Ashukuriwe mwana halisi wa nchi hii Humphrey bin Polepole aliyeutambua u Tanzania wake kama thawabu kubwa zaidi mno, dhidi ya uchawa na uchama.
Kasema Polepole mifumo ihusikanayo na uchaguzi imekuwa inachezeka vilivyo kutokea CCM. Jambo hili si dogo, "a very serious issue!" Kwamba wako na "unauthorized, full access," wahuni wasiyopaswa kuwa nayo.
Hii ina maana kutokea CCM kuna milango ya kuingilia kwa wakati wao na kufanya mabadiliko yoyote: ikiwamo kufuta, kuhariri, kurekebisha, kuongeza, kupunguza, nk, lolote; kama inavyoweza kuwapendeza wao kwa wakati wowote. Kwamba kwa mfano, CCM wanazo funguo zote za spare za vyungu vyote muhimu, ikiwamo vya tume ya uchaguzi!
Anachoitisha Polepole ni kitu muhimu sana. Kuwa inatakiwa kufanyika "total forensic audit" ya hiyo mifumo yote iliyotajwa, na hasa ya vyungu (servers) vya pale tume ya uchaguzi.
Ikumbukwe kwa Kenya waliokuwa wanashikilia funguo za vyungu vya IEBC wakati Ruto akifanza vitu vyake, leo wote ni marehemu. Humo wamo yule ambaye ni wazi kuwa aliuwawa na bwana Wafula Chebukati mkurugenzi mkuu IEBC, aliyekufa chigafla akiwa na miaka 61, "mysteriously" kama Magufuli tu.
Forensic audit yataka ubobezi. Zieleweke taarifa zote za ma vyungu yaliyopo, database gani, apps gani, na makorokoro kadha wa kadha wezeshi husika yanayo ikamilisha mifumo husika.
"Zionekane log files zote zenye kutunza kumbukumbu zote za utendaji wa vyungu vyenyewe. Kwamba nani alingia, alingia lini, kutokea wapi, akawepo muda kwa gani, akafanya nini, nk."
Uzuri mifumo hii mamboleo, huwezi kuzitoroka wala kuzifanyia karabati log files, nje ya kuzifuta tu. Kama zimefutwa hiyo nayo ni taarifa muhimu ya ukaguzi zaidi. Tangu lini mhalifu akaweza kuondosha alama zake zote kwenye eneo la tukio? Hapo pia bado cross examination za viwango vya kina Chibatala au TAL. Kwamba ni lini ziliwahi mwacha m'bambika kesi gani, wapi salama?
Kwamba taarifa zote, za nani kaingia, tarehe ngapi, saa ngapi, kutokea wapi, kafanya nini nk, nk, zipo? Hapa si ni kama chui tu aliyeng'ng'aniwa na fisi kwa mkia?
Kwani kunatakikana nini basi wandugu hata tukafike huko kwenye kufukua makaburi? Kaorodhesha Polepole pale mambo yote ya kufanywa, tena kwa unyenyekevu mkubwa. Kulikoni yafike mbali hadi wakaanze kupatikana kina Balali? Kwamba hata hao nao kumbe wangali hai?
Tusifike mbali hadi tukafikishana kukimbizana na ma interpoli right, left and center, wakati sote ni ndugu. Yote ya nini? Polepole anaomba: "kupisha shari, si kumwagwe oil tu?"
Si ashauriwe mama sawa sawa, tena kwa unyenyekevu mkubwa amwage oil, wakati ungalipo!
Pia soma : GE2025 - Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba