Polepole chunga usipayuke tena!

Ndiyo gharama ya kujipendekeza! Alidhani atamfurahisha bosi wake bila kutafakari madhara ya kauli chafu kama ile, tena bila ushahidi, aibu.
 
DOLA MILIONI MOJA NA NUSU NI BILIONI TATU SIYO MIA TATU. MAY BE ULIMAANISHA DOLA MILIONI MIA MOJA NA HAMSINI
 
Yaani huyu polepole hakufaa wala hata kuelekea ktk huo UKATIBU UENEZI WA CCM
Sijui M.kiti alimuokotea wapi tu
 
Jana hata mm nmeshangaa na jushtuka sn juu ya hyo kauli. Then wahusika wako huru nn maana ya kua na vyombo vya ulinzi na usalama?
 
Unaweza kujiuliza jamaa walipata wapi udhubutu wa kumpa Mzee dau, walimpigia simu au walienda pale Ikulu?

Hawakufika dau la Mzee kwa hiyo akaenda kusema zikatoka Ikulu zikafika mpaka Lumumba

Polepole ameamua kutudhihirishia ule utukufu wa Urais aliondoka nao Nyerere siku hizi kumeshakuwa kama nchi za kule Latin Amerika tu kama wangefika bei basi yangeisha
 
Mi naamini ni kuna ukweli flani. Hebu imagine angekuwa balozi kama wa uingereza ndo katumwa afikishe hiyo offer, angemuitia takukuru? Mi nafikiri hili litufungue macho kutambua hawa "wakubwa" wanakawaida ya kuwapa rushwa viongozi wetu ili watekeleze matakwa yao.
 
Madhara ya kupayuka bila tafakuri na bila kipimo....!!! Na hii yote ni pale unapomlazimisha mtu kuvaa viatu vikubwa kuliko miguu yake ...halafu unamwambia akimbie
Kujaribu kumuiga Mwl. Nyerere Legacy yake ni sawa na kumuiga tembo kupuu

Mwalimu was a man of true virtues... Nafasi ile angeweka mtu makini mweledi na ambaye upstairs kuko vizuri
 
Yaani huyu polepole hakufaa wala hata kuelekea ktk huo UKATIBU UENEZI WA CCM
Sijui M.kiti alimuokotea wapi tu
Kuna aina fulani ya wanyama huwa hawapendi kundini kuwe na wengine mahiri kama yeye....daima hupenda kuwajuu pekeyake na kusujudiwa na wengine
 
Jana hata mm nmeshangaa na jushtuka sn juu ya hyo kauli. Then wahusika wako huru nn maana ya kua na vyombo vya ulinzi na usalama?
Vinasubiri maagizo toka juuu kabisa
 
Nisipingane nawe lakini kweli ndio mtoa taarifa awe polepole? As simple as that? Kwenye rankings kimadaraka Humphrey ni namba ngapi? That's why nikasema asiropoke...(hata kama kuna ukweli fulani)
Kwa wale wenzetu wasio na subra ingekuwa kimeshanuka muda huu
 
Ilianza kwa Bashite ikaja kwa Lukuvi sasa kwa mwenye nchi na bado hakuna hatua basi tumekwisha
 
Polepole mpaka mda huu angekua ameshakamatwa awataje waliotaka kumuonga Rais lasivyo anapenda siasa za maji taka
 
Kama kweli wamejaribu kuhonga basi wanauogopa muziki wa JPM na sasa tuanze kuamin kuwa 'imooo'. Tuhuma dhidi yao sio bure.
 
Na yeye anakurupuka kama boss wake!Magufuli anavypenda kiki angemuoshea huyo mtu vibaya.ingekuwa kama wimbo wa taifa.mpaka hapo najua hiyo story ya polepole ni ya uongo!
 
Huyu kijana alionekana kama mtu mwenye hekima na busara lakini baada ya kuteuliwa anaelekea kufanana na boss wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…