Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Katibu wa Itikadi Na Uenezi wa CCM Ndugu Humphrey Polepole anasema mbele ya Kamera na vinasa sauti, Kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi kuna majizi Na anawajua ila Kila akiomba ruhusa awataje wakubwa ndani ya Chama wanamzuia.
Najiuliza maswali
1.Hao wakubwa wanaomzuia Polepole asiwataje ni akina Nani?wakubwa kiitifaki Kwa Polepole ni akina Nani?
2.Majizi ndani ya Chama wao hawakamatwi?Kwa hiyo Takukuru wanamipaka ya nani akamatwe na Nani asikamatwe?
Kama ndiyo tunavyoendesha nchi hivi,basi Safari yetu ni ndefu sana.