Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
POLEPOLE ANA MGOMBEA WAKE MFUKONI?
Lilipoulizwa swali la huenda kupitishwa kwa mgombea mmoja kwenye kugombea nafasi ya Urais ikawa ni uoga wa kushindwa kwenye mkutano mkuu, Dkt. Dennis Muchunguzi anasema hakuna uoga wowote kwasababu wajumbe wa mkutano mkuu ambao ndio WAPIGA kura ndio waliamua wenyewe kumpendekeza mgombea ambaye ni Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Urais na Dkt. Hussein Mwinyi kwa nafasi ya Urais wa Zanzibar, hivyo wazi halikutoka kwa mgombea.
Dkt. Muchunguzi ambaye ni mchambuzi wa masuala ya Siasa na Mwanazuoni alipoulizwa kuwa huenda Ndg. Polepole ana mgombea wake mfukoni akasema hajui mifuko yake.
Hayo yamezungumzwa kwenye Podcast ya Kikao cha Dharura na Kabwanga
Vipi wewe unadhani Ndg. Polepole ana Mgombea wake mfukoni?
Lilipoulizwa swali la huenda kupitishwa kwa mgombea mmoja kwenye kugombea nafasi ya Urais ikawa ni uoga wa kushindwa kwenye mkutano mkuu, Dkt. Dennis Muchunguzi anasema hakuna uoga wowote kwasababu wajumbe wa mkutano mkuu ambao ndio WAPIGA kura ndio waliamua wenyewe kumpendekeza mgombea ambaye ni Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Urais na Dkt. Hussein Mwinyi kwa nafasi ya Urais wa Zanzibar, hivyo wazi halikutoka kwa mgombea.
Dkt. Muchunguzi ambaye ni mchambuzi wa masuala ya Siasa na Mwanazuoni alipoulizwa kuwa huenda Ndg. Polepole ana mgombea wake mfukoni akasema hajui mifuko yake.
Hayo yamezungumzwa kwenye Podcast ya Kikao cha Dharura na Kabwanga
Vipi wewe unadhani Ndg. Polepole ana Mgombea wake mfukoni?